Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Mambo mkuu, i hope utakua na account yako NBAA, ukiingia kuna sehemu inaitwa "Questions Bank" huko utapata past papers and answers, pia materials ingia sehemu inaitwa "Learning materials"utachagua hizo A's zote zipo ni vitabu vya board
Ok Akhsante sana, nitapitia humo..
 
Hatimaye muda umefika tena, all the best kwa wanaojiandaa na mitihani panapo next, Mungu awajaalie afya njema kipindi chote cha mitihani🙏 mpaka kieleweke
 
Hatimaye muda umefika tena, all the best kwa wanaojiandaa na mitihani panapo next, Mungu awajaalie afya njema kipindi chote cha mitihani🙏 mpaka kieleweke

Umeshamaliza cpa?

Maana kitambo huu uzi

Huu uzi nilimuonesha mdogo wangu ukampa nguvu na ameshapata CPA tayari now ameajiriwa auditor PwC
 
Tofauti ya CPA na ACCA ni ipi

ACCA NI NINI?
ACCA ni Kifupi cha Association of Chartered Certified Accountants ambayo ni Bodi Kubwa (kuliko zote) ya Kimataifa ya Uhasibu Duniani ambayo imekuwepo kwa zaidi ya miaka 100 tangu kuanzishwa kwake. Makao makuu ya Bodi hii yako Uingereza, Katika Jiji la Adelphi, London, Anuani yao ni hii hapa: ACCA, The Adelphi, 1-11 John Adam Street, London, WC2N 6AU, Namba ya simu: +44 (0)20 7059 5000.

Hii ndiyo Bodi Kubwa na inayokuwa kwa haraka zaidi Duniani yenye wanachama zaidi ya 208,000 na wanafunzi zaidi ya 503,000 ndani ya nchi 179 duniani kote.
KWA NINI MTU ASOME ACCA? Kwa ufupi tu ni kwamba:-

Inakuwezesha kuwa “Chartered Certified Accountant”. Kuwa Chartered maana yake ni mtu ambaye amethibitishwa na Bodi ya Watalaam kuwa ana Ujuzi na Weledi katika Fani Fulani na amepata Cheti cha Uthibitisho kutoka katika Bodi hiyo. Kwa hiyo mtu akitumia maneno ACCA baada ya herufi za jina lake, inaonyesha kwamba mtu huyo ana uwezo mkubwa wa kufanya kazi katika sekta ya Uhasibu na Fedha pamoja na Utawala katika Biashara ya aina yoyote ile.
Inakupa matarajio makubwa ya kupata ajira nzuri mahala popote duniani kwa kuwa una uwezo wa kufanya kazi katika biashara ya aina yoy0te ile.
Inawapa uhakika waajiri kuwa una uwezo mkubwa wa Kukabidhiwa Majukumu Makubwa ya Kiutendaji (Senior Management Positions).
Mitihani inafanyika Mara NNE kwa mwaka mzima, yaani March, June, September na December kila mwaka. Hivyo unaweza kumaliza mapema ukiamua.
 
Umeshamaliza cpa?

Maana kitambo huu uzi

Huu uzi nilimuonesha mdogo wangu ukampa nguvu na ameshapata CPA tayari now ameajiriwa auditor PwC
Nimalize wapi mkuu😩 Naenda taratibu, inshallah mwakani🙏 hongera zake huyo mdogo ako
 
Hongereni kwa mliomaliza mitihani Jana, tunamshukuru Mungu kwa afya njema kipindi chote cha mitihani🙏, now we are back to business maana haya masomo yanaweza kukutenga hata na ndugu hamna kuonana , kutoka out dah🤔

Kama kuna mtoko sehemu nipeni wakuu niko free now😀(joke kidogo)
 
Hongereni kwa mliomaliza mitihani Jana, tunamshukuru Mungu kwa afya njema kipindi chote cha mitihani[emoji120], now we are back to business maana haya masomo yanaweza kukutenga hata na ndugu hamna kuonana , kutoka out dah[emoji848]

Kama kuna mtoko sehemu nipeni wakuu niko free now[emoji3](joke kidogo)
Pole mkuu B1 ni nzito ila naona inataka upitie past paper sana mazoezi kwa wingi ndio unachomoa kwa urahisi

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa mkuu maana bila hivo unateseka sana, nadhani hata kabla matokeo hayajatoka nimeshajijua nilichofanya[emoji17] nataka nianze mapemaa kujisomea
Itabidi uje nikusaidie hiyo B1 [emoji16] (just jokes).
Mimi nilisoma kwa kupitia kitabu cha NBAA maswali ya mwisho wa topic sana na past paper zao pia ACCA ,kama NBAA nilianzia past paper za 2015 mpaka recently

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Itabidi uje nikusaidie hiyo B1 [emoji16] (just jokes).
Mimi nilisoma kwa kupitia kitabu cha NBAA maswali ya mwisho wa topic sana na past paper zao pia ACCA ,kama NBAA nilianzia past paper za 2015 mpaka recently

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Hahaa kama kweli uko vizuri nisaidie mkuu maana hii B1 naona itamaliza mtaji wote wa biashara😀
 
Hivi usajili na gharama zote za intermidiet level ni kiasi gan
Usajili unalipia 75,000 annual subscription fee, then utalipia exams fee 140,000/= kwa kila somo na kuna masomo 6 + exams processing fees 20,000/=
 
Back
Top Bottom