Wanaotaka kwenda kutazama fursa Comoro bas meli ipo inapakia sasa

Mpumbavu wahed. Yaani nipakie mtu mzigo niende nao Comoro. Mi najua huko kinauzika kitu gani? Nibebe nguo, viazi, mihogo, mchele, ndizi au nibebe electronics. Halafu ulivyo mpumbavu zaidi unasema tukapakie melini kumbe usafiri ni ndege. We ukapimwe mkojo.
 
nadhan umetoroka milembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda haya nitakayosema yatakuwa yamepitwa na wakati, LAKINI nadhani hilo tangazo liliwalenga "FOOLS" kwani Aprili Mosi ni "FOOLS DAY"! Ndiyo maana zerish89 hakujiu tena! Hata hivyo taarifa muhimu kama za hao mawakala n.k.Asanteni.
 
Labda haya nitakayosema yatakuwa yamepitwa na wakati, LAKINI nadhani hilo tangazo liliwalenga "FOOLS" kwani Aprili Mosi ni "FOOLS DAY"! Ndiyo maana zerish89 hakujiu tena! Hata hivyo taarifa muhimu kama za hao mawakala n.k.Asanteni.
nahis una stress za maisha .....tafuta zerish 89 alipoanzia hii mada ndo utajiona mjinga na huu uzi haukuhusu ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
moja ya uzi ulio nichekesha sana, naswali na majibu ya humu ni burudani tosha
 
We mpemba kushinda bandarini unajiona bonge la baharia, kumbe pimbi tu muuza karafuu
 
nahis una stress za maisha .....tafuta zerish 89 alipoanzia hii mada ndo utajiona mjinga na huu uzi haukuhusu ww

Sent using Jamii Forums mobile app
zerish89 acha hoja za jaziba! Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa uzi wako, lakini huwezi kutoa taarifa asubuhi au mchana ukitegemea mfanyabiashara aliyeko say Mwanza au Tanga au popote pale aje na mizigo yake apakie tayari kwa safari ya Comoro! Ndiyo maana wana JF wameuliza maswali mengi kama nauli, viza n.k. If you were or you are serious kwa kuwasaidia wana JF, taarifa hizi ungelitupa mapema at least one, two or seven days in advance. Najua unataka kuwasaidia wana Jf vinginevyo jaribu KUWA MPOLE KWA KILA COMMENT HUMU JF au siyo!?
 
hakuna mtu alieuliza kistarabu nikaacha kumjibu na wengne wananifata mpaka private ...alieuliza Visa kajibiwa Visa..tatizo linakuja unataka uelewe kwenye comment ya mtu ..kama ni ivyo bas soma comment zote tang uzi wa kwanza utaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…