Wanaotaka Sharia katika nchi za Uingereza na Ujerumani ni wakati sasa kutilia maanani onyo analotoa Mosab Youssef?

Wanaotaka Sharia katika nchi za Uingereza na Ujerumani ni wakati sasa kutilia maanani onyo analotoa Mosab Youssef?

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Nawakaribsha wana JF msikilize wenyewe hotuba aliyotoa mtoto wa mmoja wa founders of Hamas, aliyoitoa kwenye Bunge la Ulaya.

Kwa kifupi jamaa huyu anauonya umoja wa ulaya kuwa dhana nzima ya utaifa wa Palestine ni njama ambazo Yasser Arafat akisaidiwa na KGB ya Soviet Union walibuni kwa manufaa binafsi.

Kwanza Kabisa Arafat ni Mmisri kabisa, ikatokea tu babayake kupitia biashara akapata makazi Raffa. Anaendelea kuwaonya kuwa nyuma ya pazia Arafat alikuwa mwanachama wa Muslim Brotherhood ambao agenda yao ya kusimamisha world islamic caliphate inajumuisha kuanza kutwaa mji wa Jerusalem, Al-Andalus (Spain wanayodai ni mali ya waislamu).

Kuna mambo mengine mengi nawasihi mjisikilizie wenyewe ili mtoe maoni


View: https://x.com/MosabHasanYOSEF/status/1849234753234342359
Screenshot_20241024-150239_Chrome.jpg
 
Huyo jamaa yako alisema kwamba Wstern wasipowasaidia Israel kweny vita basi wataanguka kidunia.
 
I admire Arabs. They're making sure they overpopulate knowing democracy is a game of numbers. Soon the UK will legally be Arabic.
 
I admire Arabs. They're making sure they overpopulate knowing democracy is a game of numbers. Soon the UK will legally be Arabic.
waarabu wakijaa ulaya wataifanya dunia kuwa giza, hawana ugunduzi kutwa nzima wanawaza uislam tu. Wazungu walifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha katika nchi zao watu duni kiakili wataiangamiza dunia
 
I admire Arabs. They're making sure they overpopulate knowing democracy is a game of numbers. Soon the UK will legally be Arabic.
waarabu wakijaa ulaya wataifanya dunia kuwa giza, hawana ugunduzi kutwa nzima wanawaza uislam tu. Wazungu walifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha katika nchi zao watu duni kiakili wataiangamiza dunia
 
Sheria za wazungu lzima zipinduliwe kwa vile wanaonesha upendeleo kwa kasi , napongeza tena tunataka huko kwao kuwe na machafuko kama walivyofanya kweny nchi za wenzao .

Watu washikilie hapo hapo , pakiwa na machafuko hawatokuwa na muda kuua watoto pale palestine.
Hahaha, unachokiombea kinakaribia kutokea. Unajua nini? Trump ni crazy siwezi kukataa, lakini against all odds naona akishinda uchaguzi wa USA. Hicho kitu kitawafanya Muslim brotherhood wapanic. Yale maandamano mnayoyaona yatageuka kuwa ya vurugu kama ilivyo kawaida yenu na hapo sasa ndipo Europe na USA watakapo jua the true color of muslims. Kitakachofuatatakijua.
 
Hahaha, unachokiombea kinakaribia kutokea. Unajua nini? Trump ni crazy siwezi kukataa, lakini against all odds naona akishinda uchaguzi wa USA. Hicho kitu kitawafanya Muslim brotherhood wapanic. Yale maandamano mnayoyaona yatageuka kuwa ya vurugu kama ilivyo kawaida yenu na hapo sasa ndipo Europe na USA watakapo jua the true color of muslims. Kitakachofuatatakijua.
Hata hawafukuze ila tunataka vurugu kidogo ili mpate maumivu ...Hana uwezo wa kuwafukuza wate 😀 😀 😛 labda na yeye asiende nchi za waislamu ...
 
Back
Top Bottom