Uchaguzi 2020 Wanaotaka ubunge 2020 tukutane hapa

Uchaguzi 2020 Wanaotaka ubunge 2020 tukutane hapa

Naona Vijana pilau la Christmas limeanza kufanya kazi baada ya siku kadhaa kupita.

Ngoja nisubiri na pilau la mwaka mpya pengine hili litakuja na Vijana wanaotaka kugombea urais 2020.

NB: PILAU ZA SIKUKU HAZIJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA KUWENI MAKINI NAZO SANA.

Wabunge wajao mnaweza kuendelea na mjadala.. nitakuja Tena 2020 jan2 baada ya pilau la mwaka mpya kufanya yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Vijana pilau la Christmas limeanza kufanya kazi baada ya siku kadhaa kupita.

Ngoja nisubiri na pilau la mwaka mpya pengine hili litakuja na Vijana wanaotaka kugombea urais 2020.

NB: PILAU ZA SIKUKU HAZIJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA KUWENI MAKINI NAZO SANA.

Wabunge wajao mnaweza kuendelea na mjadala.. nitakuja Tena 2020 jan2 baada ya pilau la mwaka mpya kufanya yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nothing wrong to think big!
 
Natafakari kugombea na kumng'oa Mwakyembe Kyela ( iwapo chama kitaona nafaa )

Tutatoana jasho kwanza kura za maoni na ningeomba ziwe huru na za haki!

Najivunia sana nguvu kubwa niliyo nayo kutoka kata za Ipinda,sehemu ambayo nina nguvu mno kisiasa!

Uchaguzi wetu wa kura za maoni chini ya Mzee Kasyupa ukiwa huru na wa haki,nitashinda

Tukutane kura za maoni kaka!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wilaya ya Kyela hakuna namna mzee Mwakyembe inabidi atuachie vijana wenye uchungu na Kyela yetu, japo mi ni kijana mdogo sana ila kama Chama kitaniamini na uchaguzi wa Kura za maoni ukawa wa huru na Haki basi tutatoshana kwenye kura za maoni Vijana wenzangu wa Bujonde,Busale, Ibanda na Kyela mjini nakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wilaya ya Kyela hakuna namna mzee Mwakyembe inabidi atuachie vijana wenye uchungu na Kyela yetu, japo mi ni kijana mdogo sana ila kama Chama kitaniamini na uchaguzi wa Kura za maoni ukawa wa huru na Haki basi tutatoshana kwenye kura za maoni Vijana wenzangu wa Bujonde,Busale, Ibanda na Kyela mjini nakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwe bhalumyana bha mwa Kyela umwe amukhunghogha Mwakyembe umwe !
 
Back
Top Bottom