mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Jamaa alimiliki ukwasi hatari, alikuwa anamilili Magari ya bei mbaya kama 12
nimeona noma yaani uwezi amini amebaki kichwa tu. Ule uchokaji ni hatari aisee
Sasa Hivi Yupo Mguu SawaJamaa alimiliki ukwasi hatari, alikuwa anamilili Magari ya bei mbaya kama 12
Kwa hiyo pesa sio kituWana Jf,
Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda. Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubari . wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Nyinyi ndo mliompiga Yule mwanamuziki wa Congo aliechelewa kupanda jukwaani?Hicho kiwanja kilikuwa kikari balaa! Enzi hizo niko UDSM (FoE) baada ya kupiga msuli tunachepukia short cut ya pale ilipo mlimani city tunaingia kiwanja mida ya fungulia mbwa! Daah!
Nami nilikuwepo kwenye seleka lileNyinyi ndo mliompiga Yule mwanamuziki wa Congo aliechelewa kupanda jukwaani?
Hapana! Labda kama ni wengine! Mimi ilikuwa kukata madebe tu kupoza stress za kitabu cha FoE! HahhahhahajNyinyi ndo mliompiga Yule mwanamuziki wa Congo aliechelewa kupanda jukwaani?
Alikuwa msanii gani vile?Nami nilikuwepo kwenye seleka lile
Mwenge Mwenge shilingia mia tu kuwaona wana diamond kimarumaru.ama hakika kila zama na kitabu chake. late 90s, silent inn ndio ulikuwa ukumbi wa starehe uliosumbua sana mjini.
vijana wote watanashati wa enzi zile, ikifika wikiendi, silent inn ndio ilikuwa sehemu yao ya ku-mingle na kutengeneza connection.
Umemaliza chuo kikuu halafu kuandika hujui? Elimu majanga hiiHicho kiwanja kilikuwa kikari balaa! Enzi hizo niko UDSM (FoE) baada ya kupiga msuli tunachepukia short cut ya pale ilipo mlimani city tunaingia kiwanja mida ya fungulia mbwa! Daah!