Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Wanaotamba na vijisent jifunzeni kwa Papaa Rwegasira Mzee wa Kibinda Nkoi

Wana Jf,

Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion . kwa sasa hana hata bodaboda. Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubari . wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.
Message from the Finance Officer.
""Never give the FINANCIAL ADVICE to someone who has never ask you""

Everyone should live his/her life.

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
 
ama hakika kila zama na kitabu chake. late 90s, silent inn ndio ulikuwa ukumbi wa starehe uliosumbua sana mjini.

vijana wote watanashati wa enzi zile, ikifika wikiendi, silent inn ndio ilikuwa sehemu yao ya ku-mingle na kutengeneza connection.
Wapi Bilcanas?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom