Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
Rwegasira nimemsikia juzi ameokoka pale kwa Kuhani Mussa, Mwenge Mpakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakushangaza anasema yeye ni mtumishi wa Mungu, Halafu anamiliki Kanisa lake lakini haamini sana kwenye Maombezi hapo nikashangaa kweli.Rwegasira nimemsikia juzi ameokoka pale kwa Kuhani Mussa, Mwenge Mpakani
Ikibinda nkoiWana JF,
Ukitaka kujua thamani ya hela na kujua Pesa ni vitoto vya kuku kamtafute Papa Rwegasira mmiliki Wa silent inn, sasa hivi ni mwendo Wa daladala, Jamaa enzi za mkapa alimiliki mamilion kwa sasa hana hata bodaboda.
Uzuri nimempenda anajichanganya ashajikubali, wale wenye hela za kubip tulizeni mikia jenga cha kukufaa uzeeni acheni majivuno na dharau.