Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💚💛💚💚💚💛💛Kwanza niipongeze sana idara inayoshulika na ukhsanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya bewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za el nino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zich8njwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania bania habari.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utabiri si umetimia, hujaiona el nino ya kasi ya 5G?
Ajabu ni goli tano kwa timu inayojiita ni kubwa Africa!?Ni vitu vya kawaida kutokea kwani bibi ajabu ipo wapi
kwahiyo tukatambike. tuchinjie majiniKwanza niipongeze sana idara inayoshulika na ukhsanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya bewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za el nino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zich8njwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania bania habari.
Madam Faiza alitaka kila mtaa uwe na utabiri wake wa hali ya hewa.Umesema utabiri wa Hali ya hewa,
Elewa neno Utabiri
Uko shule ulienda kujifunza kulamba kamasiKwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya bewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za el nino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zich8njwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania bania habari.
Hata wewe unashabikia utopolo [emoji12][emoji12] ndiyo maaanaaaaaAjabu ni goli tano kwa timu inayojiita ni kubwa Africa!?
Makolo hampo serious!!
Rafiki yako pia hapo juu nae yupo utopoloBibi utapigwa [emoji23]
Ndiyo maana nini?Hata wewe unashabikia utopolo [emoji12][emoji12] ndiyo maaanaaaaa
Nitakuambia baadaeNdiyo maana nini?
Sungura hapingwi!!Kwa Mujibu wa Kitabu kitukufu..
Mpira ni Dhambi
Huyu Ajuza karogwa sio bure[emoji23][emoji23][emoji23]wewe bibi wewe. Sio vizuri ujue