Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Walishaonywa ila msemaji wao akapinga katakata kuwa haiwezekani!Kwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.
Bibi au yupi mwngine?Rafiki yako pia hapo juu nae yupo utopolo
Huuu utabiri umeeeeeeeenda vilivyo😂😂😂Kwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.
😂😂😂Kaupatia vilivyo huu utabiriBibi au yupi mwngine?
sisi watu wa mpira tumekuelewa bibi. asante kwa uzi.Kwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.
Angalau hapa tunaongea lugha moja... kumbe una akili sometimesKwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.
We ungejuaje kama wangepandisha mnara 5G😂sisi watu wa mpira tumekuelewa bibi. asante kwa uzi.
Bibi anataka kutonesha kidonda😂😂😂Kaupatia vilivyo huu utabiri
Kwa Mada hii nimekupenda sana Bibi.Kwanza niipongeze sana idara inayoshughulika na ukusanyaji wa data za hali ya hewa na mwisho kututangazia hali ya hewa inayotarajiwa kuwepo.
Binafsi ni mdau mkubwa wa kutazama hali ya hewa, kwa uchache kutwa mara tatu.
Habari ya mwisho kuu waliyotutangazia watabiri wetu ilikuwa ni kututaka tujitahadhari na mvua za elnino. Ni kweli limetokea, lakini walitubania kutueleza ukweli kuwa el nino hiyo itatokea jangwani kwa kasi ya 5G na kunyesha kwa kutisha mtaa wa Msimbazi.
El nino jana, imepelekea majeruhI kuwa ni wa wengi na tuwaombee salama.
Nashauri ng'ombe 5 zichinjwe huko jangwani na nyama ya sadaka ifike mpaka mtaa wa Msimbazi.
Tuwalaumu TMA, waliliona hili muda tu, wakabania-bania habari.
Kaa kwa kutuliaAjuza wewe umeandika utumbo gani
Ndunduka tulia dawa iingieHata wewe unashabikia utopolo [emoji12][emoji12] ndiyo maaanaaaaa