Wanaotesa mpaka kuua, huwa wanavuta bangi kwanza au wanaua kavukavu bila kupata chochote cha kuwaondolea ubinadamu na eneo huwa ni sound proof?

Wanaotesa mpaka kuua, huwa wanavuta bangi kwanza au wanaua kavukavu bila kupata chochote cha kuwaondolea ubinadamu na eneo huwa ni sound proof?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Jamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.

Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?

Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?

Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?

Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.

Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?

Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?

Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?

Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.

Inasikitisha na kuumiza sana!

Soma Pia: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

I can't imagine!!!
 
Mkuu inauma sana .
Ukiwaza anayefanyiwa hivi ni wewe, baba yako mzazi au ndugu yako wakaribu just imagine? Maumivu unayopata? Na sababu kuu eti kuwa mpinzani....Aisee!!

Kweli kutofautiana kisiasa inapelekea mtu anaacha mjane au watoto yatima? Inafikirisha sana!!!

Hivi inawezekana dunia ya leo watu wote wawe chama kimoja? Dini moja? Kabila moja?

Wauaji mnatukosea sana tunao baki kutufanya tuamini Duniani hapa kuna Miungu watu wakuamua nani aishi nani abaki.

Muda ni suluhisho la tatizo..tujipe muda. Kuna wachache wameamua kutuharibia kabisa Taifa letu kwa masilahi yao mafupi.
 
Jamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.

.
Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?

Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?

Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?

Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.

Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?

Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?

Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?

Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.

I can't imagine!!!
Naomba nikuambie kitu ndugu, hiyo ni kazi, ni fani kama fani zingine.

Kuna watu watu wanasomea kutesa na kuua, kama vile daktari anavyosomea kutibu na kuponya.

Labda niishie hapo kwanza.
 
Naomba nikuambie kitu ndugu, hiyo ni kazi, ni fani kama fani zingine.

Kuna watu watu wanasomea kutesa na kuua, kama vile daktari anavyosomea kutibu na kuponya.

Labda niishie hapo kwanza.
Halafu unakuta hao watu na mabosi wao ni watu wenye dini. Bora waliochagua kuwa wapagani kukiko sisi wenye dini halafu wanafiki na tulio sawa na wanyama wasio na dini wala kumjua Mungu.
 
Jamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.

.
Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?

Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?

Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?

Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.

Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?

Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?

Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?

Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.

I can't imagine!!!
Kwanza uelewe wanakuwa Trained na hizo zinazoitwa huruma kwao hawana. Wao huona mtu kama kitu kisichokuwa na Thamani.

Ktk moja ya vitabu vilivyoandikwa na US Navy Forces vya marekani vinaelezea namna watekaji, wauaji na Snipers wanavyofundishwa.

Kwenye kitabu kile kinachotisha hata kwa kusoma kinaeleza kuwa Wauwaji wanatengenezwa kisia( mentally) kiasi kwamba wakiambia Piha huyu risasi wao wanapiga bila kujiuliza swali( wako programmed).

Mwandishi anasema wanatembea kama vile hawana akili zao. Yaani kama unavyoweza kumwamrisha Mbwa wa Polisi.

Ktk maelezo yao wanasema wamefundishwa mbinu mbali mbali za Extended Interogation zenye adhabu kali ambazo hata Jambazi aliyekomaa akizipata anakubali show.

Wametengenezwa kiasi kwamba Mateso kwa binadamu mwingine kwao ni Furaha na Amani moyoni.
 
Jamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.

.
Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?

Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?

Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?

Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.

Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?

Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?

Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?

Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.

I can't imagine!!!
Kitu
Jamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.

.
Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?

Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?

Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?

Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.

Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?

Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?

Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?

Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.

I can't imagine!!!
Nadhani cha muhimu kuliko vyote inabidi uwe kada wa CCM...vingine kama bangi ni booster tu.
 
Kwanza uelewe wanakuwa Trained na hizo zinazoitwa huruma kwao hawana. Wao huona mtu kama kitu kisichokuwa na Thamani.

Ktk moja ya vitabu vilivyoandikwa na US Navy Forces vya marekani vinaelezea namna watekaji, wauaji na Snipers wanavyofundishwa.

Kwenye kitabu kile kinachotisha hata kwa kusoma kinaeleza kuwa Wauwaji wanatengenezwa kisia( mentally) kiasi kwamba wakiambia Piha huyu risasi wao wanapiga bila kujiuliza swali( wako programmed).

Mwandishi anasema wanatembea kama vile hawana akili zao. Yaani kama unavyoweza kumwamrisha Mbwa wa Polisi.

Ktk maelezo yao wanasema wamefundishwa mbinu mbali mbali za Extended Interogation zenye adhabu kali ambazo hata Jambazi aliyekomaa akizipata anakubali show.

Wametengenezwa kiasi kwamba Mateso kwa binadamu mwingine kwao ni Furaha na Amani moyoni.
Duh!Basi hawa watu ni hatari sana!
 
Mkuu inauma sana .
Ukiwaza anayefanyiwa hivi ni wewe, baba yako mzazi au ndugu yako wakaribu just imagine? Maumivu unayopata? Na sababu kuu eti kuwa mpinzani....Aisee!!

Kweli kutofautiana kisiasa inapelekea mtu anaacha mjane au watoto yatima? Inafikirisha sana!!!

Hivi inawezekana dunia ya leo watu wote wawe chama kimoja? Dini moja? Kabila moja?

Wauaji mnatukosea sana tunao baki kutufanya tuamini Duniani hapa kuna Miungu watu wakuamua nani aishi nani abaki.

Muda ni suluhisho la tatizo..tujipe muda. Kuna wachache wameamua kutuharibia kabisa Taifa letu kwa masilahi yao mafupi.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom