Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Ukiwaona wana sura za upole sana mpaka unajihis uko mikono salama kumbe ndio wanakwenda kuitoa roho yako..Labda niwaulize wale abiria kwenye basi " walioingia na kumkamata yule mzee, nyuso zao zilikuwa za kishetani au za kibinadamu?
Bangi ni Kama kichocheo kwa hao makatili kupata hamasa ya kuwatesa kikatili.
Kuna wavuta bangi wengi sana ambao ni watu wa amani ie. Marastaman wengi wanavuta msuba na ni watu peace sanaa ✌️
Kuna mdau alisema Nchi yetu yenyewe masikini wakutupwa tuna siri gani za maana mpaka tunatekana na kuuana.Mkuu inauma sana .
Ukiwaza anayefanyiwa hivi ni wewe, baba yako mzazi au ndugu yako wakaribu just imagine? Maumivu unayopata? Na sababu kuu eti kuwa mpinzani....Aisee!!
Kweli kutofautiana kisiasa inapelekea mtu anaacha mjane au watoto yatima? Inafikirisha sana!!!
Hivi inawezekana dunia ya leo watu wote wawe chama kimoja? Dini moja? Kabila moja?
Wauaji mnatukosea sana tunao baki kutufanya tuamini Duniani hapa kuna Miungu watu wakuamua nani aishi nani abaki.
Muda ni suluhisho la tatizo..tujipe muda. Kuna wachache wameamua kutuharibia kabisa Taifa letu kwa masilahi yao mafupi.
Mmoja wapo huyu mshangazi UCDKwani hujaona hata humu jf wapo watu wanatetea huo uhalifu ??!
Binadamu tunatofautiana Ubinadamu wetu !
Utashaangaa mkuu wakati kila siku madini na maliasili zinabebwa kila kukicha.Kuna mdau alisema Nchi yetu yenyewe masikini wakutupwa tuna siri gani za maana mpaka tunatekana na kuuana.
Wewe ulitaka nifuate maoni yako tu au unafikiri mimi sijitambui kama wewe!! Huo ndio uhuru wa kutoa maoni!Mmoja wapo huyu mshangazi UCD
Hao ni wahuni flani, unakuta ni mijitu ina rasta ndefu na makoti. Kwa kifupi ni wahuni bangi mtu bangiJamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.
Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?
Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?
Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?
Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.
Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?
Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?
Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?
Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.
Inasikitisha na kuumiza sana!
Soma Pia: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
I can't imagine!!!
Hao ni wahuni marastaman wavuta bangi watupu ndio wako kwenye hizo operation wao ni kupoke maagizo tuJamaini sijui kama wenzangu huwa mnajiuliza hawa watekaji huwa wanafanya hii kazi ya kupiga mpaka kuua katika mazingira gani na wao wenye mentally huwa wanakuwa katika hali gani.
Najiuliza binadamu wa kawaida unaweza ukashika nondo, kitako cha bunduki, kisu, n.k na ukaanza kumpiga au kumchomo binadamu mwenzako mpaka anakata roho ukiwa na macho makavu na akili tu ya kawaida?
Hata kama umevaa kininja, bila kitu kinachoweza kukuondolea ubinadamu kama bang, n.k, unaweza kuhimili huo ukatili mpaka mtu anakata roho?
Halafu hii shughuli wanaifanyia maporini hata mtu akipiga kelele watu hawasikii au wanaifanyia kwenye vyumba maalumu ambayo ni sound proof au wanawaziba midomo?
Hakika huu ni ushetani wa kiwango cha juu sana na sidhani kama wanaobariki na wanaotekeleza huu unyama watabaki salama hapa duniani.
Na kama baraka zinatoka kwa watawala, wanaweza vipi kushindwa kusaini watu wanyongwe ila wakaridhia uuaji wa aina hii?
Na ikitokea inavuja video ya mateso mpaka mtu anakufa, bado kuna watu watatetea hao wauaji na wanaobariki haya mauji?
Mwisho, kama tu binadamu wengine wanaona tabu kutazama maiti, hawa wauaji wanaweza vipi kutoboa macho maiti tena ya mtu waliomua wao wenyewe?
Hakika baadhi ya sisi binadamu ni mashetani wenye umbo la kibinadamu.
Inasikitisha na kuumiza sana!
Soma Pia: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
I can't imagine!!!
Huna akili,tafuta mume haraka utulieWewe ulitaka nifuate maoni yako tu au unafikiri mimi sijitambui kama wewe!! Huo ndio uhuru wa kutoa maoni!
Ukifurahia na kushangilia watoto wanavyoshushiwa mabomu huko Gaza, Sudan au pengine kokote, wewe ndani ya moyo/akili yako hauko mbali sana na hawa wauwaji. wewe ni muombaji wa chuo cha uuaji ambaye hukuchaguliwa lakini unasubiri kuomba katika selection ya 4.Naomba nikuambie kitu ndugu, hiyo ni kazi, ni fani kama fani zingine.
Kuna watu watu wanasomea kutesa na kuua, kama vile daktari anavyosomea kutibu na kuponya.
Labda niishie hapo kwanza.
Binadamu anakimbilia madawa ya kulevya, kwa nia ya kupoteza hisia za kibinadamu ili hisia zake zikaribiane sana na mnyama. Hii inamuwezesha huyu binadamu kufanya matendo ya kinyama, wenyewe tukiyaita eti matendo ya kishetani.They have trained to be animal.
we hauwezi hata siku moja!
Kuna watu wanasikitika sana mabomu yanavyopigwa huko Gaza.Ukifurahia na kushangilia watoto wanavyoshushiwa mabomu huko Gaza, Sudan au pengine kokote, wewe ndani ya moyo/akili yako hauko mbali sana na hawa wauwaji. wewe ni muombaji wa chuo cha uuaji ambaye hukuchaguliwa lakini unasubiri kuomba katika selection ya 4.
Kwa bahati mbaya hapa JF, watu wenye mioyo namna hiyo si wachache. Tukemee aina yeyote ya ukatili wa kutoa roho za wengine bila kujali mipaka.
Kweli 👍Kuna watu wanasikitika sana mabomu yanavyopigwa huko Gaza.
Lakini watu haohao wanafurahia sana uhalifu anaoufanya Putin kule ukraine.
Ni double standard, ni ujinga.