Wanaotoa tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo, hawajui mpira

Wanaotoa tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo, hawajui mpira

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Imekuwa ikishangaza hawa watoa tuzo ya mchezaji Bora ni kilevi Gani hutumia

Juzi hapa wamempa Max Nzengeli tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo na Max aliingia dakika ya 77😂
Sawa Max Nzengeli ni mchezaji wangu lakini naona Kwa Muda alicheza haustahili angepewa Aucho

Jana kapewa Ateba. Mchezaji anageuka kama lorry la mchanga ndo kapewa😂

Kuna mechi alipewa Camara na hakudaka mpira hata mmoja

Kwa upande wa mtani hakuna mchezaji anapiga kazi kama Ngoma na Kapombe ila hawajawahi kupewa hii tuzo , tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo amekuwa alipewa mchezaji konokono na mpiga penalty Ahoua

Huu utabaki kuwa mtazamo lakini naona wawe na watu wanaofanya tathmini ya mchezo na kujua vigezo sahihi vya kumpata mchezaji bora
 
Ukome kuwaita wachezaji wetu majina ya kipuuzi..
Konokono mnae huko kwenu unamjua...
Ateba atawaumiza sana vichwa mwaka huu...ameanza kuwa prove wrong mazuzu ya jangwani...
Kama penalty rahisi muulize KiAziz...mobeto
 
Ukome kuwaita wachezaji wetu majina ya kipuuzi..
Konokono mnae huko kwenu unamjua...
Ateba atawaumiza sana vichwa mwaka huu...ameanza kuwa prove wrong mazuzu ya jangwani...
Kama penalty rahisi muulize KiAziz...mobeto
Mrembo hifananii kuwa kolo
 
Ukome kuwaita wachezaji wetu majina ya kipuuzi..
Konokono mnae huko kwenu unamjua...
Ateba atawaumiza sana vichwa mwaka huu...ameanza kuwa prove wrong mazuzu ya jangwani...
Kama penalty rahisi muulize KiAziz...mobeto
Nakazia
 
Kolo ni mjomba...
Na ww kuna muda huwezi amini kama ni utopolo yani akili zinakupwa na kujaaa.. 🤣 🤣 🤣 🤣
Rage aliona mbali kuwatia mbumbumbu
 
Kolo ni mjomba wewe babu...
Kolo ni mbumbumbu Kwa tafsiri ya Rage
Au unataka kumpiga kiongozi wako
Rage aliwaita mbumbumbu Wanachama na mashabiki wa Simba pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay
 
Kolo ni mbumbumbu Kwa tafsiri ya Rage
Au unataka kumpiga kiongozi wako
Rage aliwaita mbumbumbu Wanachama na mashabiki wa Simba pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay
Kumbe hujui hata kolo limetoka wapi wewe mrundi...
Kolo alianzisha babu Manara..mzee wa meno ya njano..
Kisa jezi zetu zilikua na machata ya bidhaa za Mo..ndo akasema hao ni makolokolo jezi zimejaa mavitu kibaooo...makolokolo kibaoo...
Kumbe hata hujui sosi ya jina hahahaha
Ngara bana usinichekeshe mieee 🤣 🤣 🤣
 
Kumbe hujui hata kolo limetoka wapi wewe mrundi...
Kolo alianzisha babu Manara..mzee wa meno ya njano..
Kisa jezi zetu zilikua na machata ya bidhaa za Mo..ndo akasema hao ni makolokolo jezi zimejaa mavitu kibaooo...makolokolo kibaoo...
Kumbe hata hujui sosi ya jina hahahaha
Ngara bana usinichekeshe mieee 🤣 🤣 🤣
😂🤣Sawa mbumbumbu umeshinda hii vita
 
Ukome kuwaita wachezaji wetu majina ya kipuuzi..
Konokono mnae huko kwenu unamjua...
Ateba atawaumiza sana vichwa mwaka huu...ameanza kuwa prove wrong mazuzu ya jangwani...
Kama penalty rahisi muulize KiAziz...mobeto
Acha ukorofi ndugu kolo
 
Imekuwa ikishangaza hawa watoa tuzo ya mchezaji Bora ni kilevi Gani hutumia

Juzi hapa wamempa Max Nzengeli tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo na Max aliingia dakika ya 77😂
Sawa Max Nzengeli ni mchezaji wangu lakini naona Kwa Muda alicheza haustahili angepewa Aucho

Jana kapewa Ateba. Mchezaji anageuka kama lorry la mchanga ndo kapewa😂

Kuna mechi alipewa Camara na hakudaka mpira hata mmoja

Kwa upande wa mtani hakuna mchezaji anapiga kazi kama Ngoma na Kapombe ila hawajawahi kupewa hii tuzo , tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo amekuwa alipewa mchezaji konokono na mpiga penalty Ahoua

Huu utabaki kuwa mtazamo lakini naona wawe na watu wanaofanya tathmini ya mchezo na kujua vigezo sahihi vya kumpata mchezaji bora
Kwanza tueleze, unavijua vigezo vinavyotumika kumchagua Mchezaji Bora wa Mechi ( Man of the Match)?
 
Imekuwa ikishangaza hawa watoa tuzo ya mchezaji Bora ni kilevi Gani hutumia

Juzi hapa wamempa Max Nzengeli tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo na Max aliingia dakika ya 77😂
Sawa Max Nzengeli ni mchezaji wangu lakini naona Kwa Muda alicheza haustahili angepewa Aucho

Jana kapewa Ateba. Mchezaji anageuka kama lorry la mchanga ndo kapewa😂

Kuna mechi alipewa Camara na hakudaka mpira hata mmoja

Kwa upande wa mtani hakuna mchezaji anapiga kazi kama Ngoma na Kapombe ila hawajawahi kupewa hii tuzo , tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo amekuwa alipewa mchezaji konokono na mpiga penalty Ahoua

Huu utabaki kuwa mtazamo lakini naona wawe na watu wanaofanya tathmini ya mchezo na kujua vigezo sahihi vya kumpata mchezaji bora
Unaweza ukacheza dk zote 90 ama 120 lakini hujisabishia matokeo chanya, (no fighting spirit)
 
Imekuwa ikishangaza hawa watoa tuzo ya mchezaji Bora ni kilevi Gani hutumia

Juzi hapa wamempa Max Nzengeli tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo na Max aliingia dakika ya 77😂
Sawa Max Nzengeli ni mchezaji wangu lakini naona Kwa Muda alicheza haustahili angepewa Aucho

Jana kapewa Ateba. Mchezaji anageuka kama lorry la mchanga ndo kapewa😂

Kuna mechi alipewa Camara na hakudaka mpira hata mmoja

Kwa upande wa mtani hakuna mchezaji anapiga kazi kama Ngoma na Kapombe ila hawajawahi kupewa hii tuzo , tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo amekuwa alipewa mchezaji konokono na mpiga penalty Ahoua

Huu utabaki kuwa mtazamo lakini naona wawe na watu wanaofanya tathmini ya mchezo na kujua vigezo sahihi vya kumpata mchezaji bora
Na wewe andaa zako utoe sio kukimbilia majukwaa ya JF na hakuna la maana unaandika
 
Kolo ni mbumbumbu Kwa tafsiri ya Rage
Au unataka kumpiga kiongozi wako
Rage aliwaita mbumbumbu Wanachama na mashabiki wa Simba pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay

Kolo ni mbumbumbu Kwa tafsiri ya Rage
Au unataka kumpiga kiongozi wako
Rage aliwaita mbumbumbu Wanachama na mashabiki wa Simba pale kwenye ukumbi wa polisi Oystabay
Mbona Kuna kocha hapo utopoloni alisema mashabiki wote wa yanga ni mbwa, sokwe na nyani.... Mnabweka hivyo na hamjui mpira?
 
Imekuwa ikishangaza hawa watoa tuzo ya mchezaji Bora ni kilevi Gani hutumia

Juzi hapa wamempa Max Nzengeli tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo na Max aliingia dakika ya 77😂
Sawa Max Nzengeli ni mchezaji wangu lakini naona Kwa Muda alicheza haustahili angepewa Aucho

Jana kapewa Ateba. Mchezaji anageuka kama lorry la mchanga ndo kapewa😂

Kuna mechi alipewa Camara na hakudaka mpira hata mmoja

Kwa upande wa mtani hakuna mchezaji anapiga kazi kama Ngoma na Kapombe ila hawajawahi kupewa hii tuzo , tuzo ya mchezaji Bora wa mchezo amekuwa alipewa mchezaji konokono na mpiga penalty Ahoua

Huu utabaki kuwa mtazamo lakini naona wawe na watu wanaofanya tathmini ya mchezo na kujua vigezo sahihi vya kumpata mchezaji bora
Safari ijayo utapewa wewe na kikombe cha rubisi.
 
Back
Top Bottom