Wanaounga mkono Hamas huko diaspora waanza kufukuzwa kazi

Wanaounga mkono Hamas huko diaspora waanza kufukuzwa kazi

Watapata kwengine. Kafiri tushaambiwa anachuki na muislam na uislam. Hapa jf mfano halisi
Hahah kafir kafir ooh kafir, hii jf yenyewe imeanzishwa na mkristo mbona usiache kutumia fal wewe.

Ushaona mkristo ana hangaika au kulipua misikiti yenu tofauti na nyie wala nyama.

Nyie sio dini, nyie ni itikadi ya damu na ubaguzi.
 
Washughulikiwe... hatuwezi acha wapumbavu wachache wapoteze kwa makusudi maisha ya watu!

NB: Majibu ya IDF ni colateral damage!
Hujimbui. Na kila neno islam basi moyo unaingia joto. Utashighulikiwa wewe halafu ufukiwe ukaingie motoni. Yahudi hana rafiki
 
Hujimbui. Na kila neno islam basi moyo unaingia joto. Utashighulikiwa wewe halafu ufukiwe ukaingie motoni. Yahudi hana rafiki
Wenzenu wanakufa kama nzige huko... nyinyi mko huku mwapiga tu kelele!
 
Wenzenu wanakufa kama nzige huko... nyinyi mko huku mwapiga tu kelele!
Wewe baada ya miaka 10.utakuwepo? Bibi zako wako wapi? Kama wamekufa hawakuwa waislamu basi wanaalia na kusaga meno huko waliko.
 
Hii dunia inavituko sana, sababu huwezi kumpangia mtu upande upi anaotakiwa kusapoti kati ya Israeli na palestina. Hata MUNGU hajatulazimisha kumpenda na kutii amri zake, Bali ametuacha tuchague wenyewe kati yake yeye MUNGU na shetani.

Na upande mwanadamu atakaouchagua una matokeo yake.
Nije kwako Mkuu usichokijua binadamu mpumbavu ni yule anayelinga kwa kuona kayawin maisha sababu ya uwezo wa pesa aliyonayo huku akijidangaya hiyo ni baraka tosha kwa MUNGU sababu ya uwezo wa kubadili Milo,kuvaa Vizuri,makao mazuri na gari nzuri za kutembelea.

Narudia Tena huu ndio upumbavu mkubwa tulionao binadamu wengi, sababu unachopaswa kulingia ni pumzi ya uhai akiyokupatia Mwenyezi MUNGU, ambayo ikipotea huwezi kuipata maana ina thamani kubwa sana kuliko utajiri au vyakula unavyofurahia Sasa . Sababu tunaishi kwa upendo wa MUNGU.

Ukisoma kitabu cha mathayo sura ya 4 mstari wa 4,"" YESU KRISTO anamwambia ibilisi, kuwa imeandikwa binadamu hataishi kwa mkate tu, Ila kwa kila neno, litokalo katika kinywa cha Mwenyezi MUNGU. Hivyo tujitahidi kuishi kwa kumpendeza MUNGU maana hatujui saa Wala dakika pia utajiri ulionao ambao ndio tegemezi kwa wengine, isiwe ndio fimbo ya kuwanyanyasa wanaokutegemea.

Maana haujui saa Wala dakika utakayondoka duniani pale pumzi hiyo ya uhai aliyokupa MUNGU itakapokata ghafla, na usijidanganye MUNGU atakupokea sababu ulikua maarufu na tajiri, hivyo ukishatambua kuwa utajiri wa dunia haudumu milele napia niwakupita tu. Ishi Vizuri na binadamu wenzio na usiwahukumu kwa maisha yao wanayoishi Kama wew ambavyo hamna anayekupangia namna unavyoendesha maisha yako.
 
Dunia inakuchagulia upande ila Kwa Media unaambiwa Kuna uhuru wa kutoa maoni.
 
muongo ni wewe kwani bado berbers na moors wako kwa asilimia kubwa ijapokuwa ni kweli kuna mchanganyiko na waarabu.

Wafilistin na mayahudi wa asili wapo na hao wayahudi (Israel) unaowasema pia ni mchanganyiko wa wazungu kutoka nchi mbali mbali za Europe mpaka Russia. Au unadhani wamekaa huko europe na russia bila ya kuchanganyika? Hata hivi juzi nilikuwa nasoma kwenye mtandao kwa nini Israel hawaruhusu DNA testing .... unadhani kwa nini?
Tukiwaambia hawa ni wayahudi feki wa kizungu na sio pure Jewish, unaanza kuitwa gaidi, na blah blah kibao, marehemu raisi wa misri bwana Gamar nasri alivyowambia hao wayahudi feki wa kizungu kwamba mliondoka hapa mkiwa weusi na Leo mmerudi wazungu. Unaweza kuzani ni mzaa lakin ukweli siku zote huwa unacheleweshwa tu lakini hujawahi kushindwa na uongo hata siku moja.
 
Wamekimbia kwenye nchi zao za uarabuni, wanafika ulaya halafu wanajifanya Wana uchungu. Ngoja warudishwe wakatetee vizuri nchi yao.
 
Wewe baada ya miaka 10.utakuwepo? Bibi zako wako wapi? Kama wamekufa hawakuwa waislamu basi wanaalia na kusaga meno huko waliko.
Kuna watu ni matahira kweli kweli, kwa taarifa yako Mungu hajui uislam wa ukristo, Wala Budha, Mwenyezi Mungu anatambua wenye moyo safi na Mucha Mungu tu.
 
Tukiwaambia hawa ni wayahudi feki wa kizungu na sio pure Jewish, unaanza kuitwa gaidi, na blah blah kibao, marehemu raisi wa misri bwana Gamar nasri alivyowambia hao wayahudi feki wa kizungu kwamba mliondoka hapa mkiwa weusi na Leo mmerudi wazungu. Unaweza kuzani ni mzaa lakin ukweli siku zote huwa unacheleweshwa tu lakini hujawahi kushindwa na uongo hata siku moja.
Swala la yupi ni myahudi Org na yupo fake uwa mnalazimisha kuliingia kila vita inapotokea kati Ya Israel na palestine. Let say hao akina Netanyahu ni fake, Je, wewe na Pua lako nene ukienda hapo middle east kwa Madai kuwa wewe ndiyo Jew Org waarabu watakuwa Amani na wewe?.
Mnatumia nguvu kubwa mno kutafuta Huruma.
Pambaneni, achani lia lia.
Sasa mmekutana na anaongea lugha mnayoielewa, matokeo yake mnatafuta huruma na hoja za kipumbavu.
Ni mkristo mpumbavu na dhulumati atakae side upande wa palestina.
Ukristo ni Haki na unafundisha haki, so mkristo yoyote anaesema Wayahudi hapo si kwao ujue ni huyo ni kunguru dhulumati alievaa Mask ya Njiwa.
Aaah. Ni hivi, mmezoa kutake advantage kwa wakristo, myahudi ni jino kwa jino. Pambaneni, hizi huruma mnazotafuta hazitazuia makombora ya Israel.
 
Back
Top Bottom