Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
50% ni wanafunzi wa shule za sekondari na msingi wanavalishwa hizo nguo ili waende kwenye mikutano.Kitu cha ajabu zaidi ni kwamba mkutano wa CCM asilimia kubwa wanaoenda pale unakuta wamevaa nguo za CCM. Tafakari
30% ni wanachama wanaokusanywa mkoa mzima mahali mkutano ulipo.
20% ni wale wanaokwenda kuchukua hizo elfu tano tano wakipewa hivyo lazima wavalishwe na tisheti