Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

Mkuu heshima kwako. Naomba connection ya mademu wale wenye bantu waliojaziajazia naskia Capetown wapo wa kumwaga kabila la Mandela Khosa.

Nitashukuru Sana. Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

View attachment 2094669

Wamejahaliwa hawa wana balaa.. nomaa
 
Kuharibikiwa ni mfumo wa misingi yako.. hata hapo ulipo ukiamua kuharibikiwa ni rahisi tu na sio swala la kushawishiwa.. usiongopee watu
Yaani walivyo waongo Tanzania kila kukicha matukio ya ajabu leo nasoma gazeti naona sijui polisi wamuua mtu huko Songea kisa 70M yake walimpola na kumtupa ni mwananchi ukurasa wa kwanza kabisa mara Arusha mzee alichomekewa pembe za ng'ombe na kuambiwa za Tembo hiyo ni Tanzania na ni waajiriwa hao sasa huku mtaani si balaa vita yake maana watu wachache ndio wenye maisha...
 

Wewe Isanga family miyayusho sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu umekimbia "operation Dudula" ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Angalia Hao waxhosa wasije kukuua maana siyo wachoyo..
Dogo mm nilikaa Cape town, joberg, Pretoria!!
[emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu, kama mtu anataka kwenda huko unamshauri aende mji gani kufanya maisha, hasa ukizingatia fursa na USALAMA wa kiwango fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…