Wanapigana vita lakini bado kiuchumi hatuwafikii

Wanapigana vita lakini bado kiuchumi hatuwafikii

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Palestina na Israel daily wanapigana vita lakini kwenye suala la Uchumi bado nchi nyingi za Afrika ikiwemo Tanzania 🇹🇿 hatuwafikii kiuchumi.

Shida inakuwa wapi kwa Nchi kama Tanzania, na kuitwa Nchi ya Amani na kuwa na rasilimali hizo zote, lakini bado tunashindwa kuzipita Nchi kama Israel na palestina zinazopigana vita kila siku.

Tunafeli wapi wazee, yani nchi inapigana vita uchumi unaporomoka kisha wanajenga tena uchumi wao na wanatukuta na kutuzidi, ila sisi tupo pale pale.

Shida inakuwa ni wapi Wakulungwa?
 
Palestina na Israel daily wanapigana vita lakini kwenye suala la Uchumi bado nchi nyingi za Afrika ikiwemo Tanzania 🇹🇿 hatuwafikii kiuchumi.

Shida inakuwa wapi kwa Nchi kama Tanzania, na kuitwa Nchi ya Amani na kuwa na rasilimali hizo zote, lakini bado tunashindwa kuzipita Nchi kama Israel na palestina zinazopigana vita kila siku.

Tunafeli wapi wazee, yani nchi inapigana vita uchumi unaporomoka kisha wanajenga tena uchumi wapo na wanatukuta na kutuzidi, ila sisi tupo pale pale.

Shida inakuwa ni wapi Wakulungwa
The Economist ranked Israel as the 4th most successful economy among developed countries for 2022. The IMF estimated Israel's GDP at US$564 billion and its GDP per capita at US$58,270 in 2023 (13th highest in the world), a figure comparable to other highly developed countries.
 
Maono, uvumbuzi utumiaji wa rasilimali tulizojaaliwa. Rasilimali zao wanavuna wao na kuuzia dunia sisi tuna rasilimali ila ana vuna mzungu na mchina. Viongozi wetu wakipewa tu bilion kadhaa kwa account zao baasi
Revolution is needed
 
The Economist ranked Israel as the 4th most successful economy among developed countries for 2022. The IMF estimated Israel's GDP at US$564 billion and its GDP per capita at US$58,270 in 2023 (13th highest in the world), a figure comparable to other highly developed countries.
And yet we cañnot surpass them during this war
 
Palestina na Israel daily wanapigana vita lakini kwenye suala la Uchumi bado nchi nyingi za Afrika ikiwemo Tanzania 🇹🇿 hatuwafikii kiuchumi.

Shida inakuwa wapi kwa Nchi kama Tanzania, na kuitwa Nchi ya Amani na kuwa na rasilimali hizo zote, lakini bado tunashindwa kuzipita Nchi kama Israel na palestina zinazopigana vita kila siku.

Tunafeli wapi wazee, yani nchi inapigana vita uchumi unaporomoka kisha wanajenga tena uchumi wao na wanatukuta na kutuzidi, ila sisi tupo pale pale.

Shida inakuwa ni wapi Wakulungwa?
Palestina ina uchumi gani?
 
Ccm inawadanganya kuwa amani inaketa maendeleo,uongo,nchi zote zilizoendelea zinaoenda kupigana au kupigana mkwara
 
Palestina ina uchumi gani?
Tanzania na Palestina ni hipi iliyo kwenye orodha ya nchi maskini Duniani? Sema kwa bahati mbaya wengine hawaitambui palestina kama nchi huru

Tena shukuru sana wanaandamwa na vita la sivyo usingewakuta
 
Ccm inawadanganya kuwa amani inaketa maendeleo,uongo,nchi zote zilizoendelea zinaoenda kupigana au kupigana mkwara
Marekani yenyewe ni mwendo wa kuandamana.

Bongo ndio tumeshakuwa kama wajinga
 
Lakini bado na vita yao hatuwezi kuwakaribia kiuchumi... Afrika tunafeli wapi
Ina maana hujui tukakofeli au unatania? Uongozi au niseme watawala. Huwezi kuwa na rais kama mama Samia halafu utegemee maendeleo.
 
Ccm inawadanganya kuwa amani inaketa maendeleo,uongo,nchi zote zilizoendelea zinaoenda kupigana au kupigana mkwara
Amani iliyopo Tanzania ni amani ya viongozi kufanya lolote bila hofu ya kuondolewa kwenye madaraka au kushtakiwa. Ndiyo maana wanakuwa wakali kweli kweli wanapoona watu wanasema udhaifu na madhambi yao.
 
Palestina na Israel daily wanapigana vita lakini kwenye suala la Uchumi bado nchi nyingi za Afrika ikiwemo Tanzania 🇹🇿 hatuwafikii kiuchumi.

Shida inakuwa wapi kwa Nchi kama Tanzania, na kuitwa Nchi ya Amani na kuwa na rasilimali hizo zote, lakini bado tunashindwa kuzipita Nchi kama Israel na palestina zinazopigana vita kila siku.

Tunafeli wapi wazee, yani nchi inapigana vita uchumi unaporomoka kisha wanajenga tena uchumi wao na wanatukuta na kutuzidi, ila sisi tupo pale pale.

Shida inakuwa ni wapi Wakulungwa?
Labda hatuwafikii Israel ila sio hao Wapalestina
 
Labda hatuwafikii Israel ila sio hao Wapalestina
Tunawazi wapalestina kwa lipi wakati hata manati ya kiwindia ndege hatuwezi kutengeneza kwa teknolojia iliyobireshwa bado tunatumia tube za magari zilizochakaa. Wapi na wapi bhaaana!! Hata tukijitutumua uongo!
 
Maono, uvumbuzi utumiaji wa rasilimali tulizojaaliwa. Rasilimali zao wanavuna wao na kuuzia dunia sisi tuna rasilimali ila ana vuna mzungu na mchina. Viongozi wetu wakipewa tu bilion kadhaa kwa account zao baasi
Kasome Ilani ukurasa wa 42
 
The Economist ranked Israel as the 4th most successful economy among developed countries for 2022. The IMF estimated Israel's GDP at US$564 billion and its GDP per capita at US$58,270 in 2023 (13th highest in the world), a figure comparable to other highly developed countries.
Ungeweka na palestina ili hoja ya mtoa mada iwe ya kweli au uongo.
Vipi Taliban nao wametupiga gape?
Maana wametoka juzi tu kuwa koloni la marekani kwa miaka 20.
 
Back
Top Bottom