Wanapoona ukuta wewe ona njia

Wanapoona ukuta wewe ona njia

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
WANAPOONA UKUTA WEWE ONA NJIA 😊

Njia wanazopita mashujaa ni zile ambazo watu dhaifu waliona ukuta, jicho la shujaa sio rahisi kuona ukuta bali litaona namna ya kuruka huo ukuta 😊

Moja sababu inayofanya matajiri karibu wote waitwe washirikina ni kwa sababu walipita njia ambazo zilionekana hazipitiki ( Yawezekana wachache ikawa kweli ila wengine si kweli ni vile tu uliona wewe huwezi sasa kila anayweza unamuona mshirikina)

Kuna watu wanaogopa kwenda kufanya usaili kwenye taasisi kubwa wakiamini ili upate kwenye taasisi hizo lazima uwe na mtu mbele ila amini na kwambia kuna watu wengi tu wanapata bila mjuano bali uthubutu wao tu wa kuona njia panapoonekana ukuta

Haya mambo ya ukikosa unasema mpango wa Mungu au ukiwa maskini unasema ni mipango ya Mungu hupunguza uwezo wa kufikiria zaidi hivyo hata ambapo ungepata suluhisho kwa akili zako unaacha na kusema ni mpango wa Mungu.

Sehemu nyingi tulizoona ukuta kuna watu walipita na mara nyingi njia hizo ndio huwa zina hatima nzuri japo si rahisi kupitika

Tupambane kila siku kuona namna ya kupita badala la kusema HAKUNA NJIA

#Mwanasayansi Saul kalivubha.
#Mitandaoni Fikia Ndoto zako.
 
Mkuu jana somebody aligoma kupanda Basi kubwa la kutoka Songea hadi Dodoma directly. "FEO"


Yeye akajipandia Vi-Coaster vidogo akaunga unga, Akashuka Njombe akapanda ya Iringa, Ndipo akapanda tena ya Dodoma.


Reason: Nauli inapungua 2000 ukiunga unga, na kwamba eti hizo gari kubwa ni za Matajiri.


Infact alisafiri kwa shida - kubanana, akachelewa kufika, Tena akafika simu imezima chaji wakati angepanda basi kubwa angeichaji na simu yake.


Watu wachache sana wanaweza kua "OPTIMISTIC" Kwenye hii sayari - just 1%.
 
Mkuu jana somebody aligoma kupanda Basi kubwa la kutoka Songea hadi Dodoma directly. "FEO"


Yeye akajipandia Vi-Coaster vidogo akaunga unga, Akashuka Njombe akapanda ya Iringa, Ndipo akapanda tena ya Dodoma.


Reason: Nauli inapungua 2000 ukiunga unga, na kwamba eti hizo gari kubwa ni za Matajiri.


Infact alisafiri kwa shida - kubanana, akachelewa kufika, Tena akafika simu imezima chaji wakati angepanda basi kubwa angeichaji na simu yake.


Watu wachache sana wanaweza kua "OPTIMISTIC" Kwenye hii sayari - just 1%.
Kwa mara moja moja sio mbaya, nafikiri kama jamaa ni mtu wa kupenda utalii na kujifunza uzoefu wa safari za mbali kutakua na kitu alifunza humo kwenye vituo na stand mabasi.
 
Kwa mara moja moja sio mbaya, nafikiri kama jamaa ni mtu wa kupenda utalii na kujifunza uzoefu wa safari za mbali kutakua na kitu alifunza humo kwenye vituo na stand mabasi.
Utalii sio point yake, Point ni kwamba Gari kubwa ni za Matajiri.
 
Mkuu jana somebody aligoma kupanda Basi kubwa la kutoka Songea hadi Dodoma directly. "FEO"


Yeye akajipandia Vi-Coaster vidogo akaunga unga, Akashuka Njombe akapanda ya Iringa, Ndipo akapanda tena ya Dodoma.


Reason: Nauli inapungua 2000 ukiunga unga, na kwamba eti hizo gari kubwa ni za Matajiri.


Infact alisafiri kwa shida - kubanana, akachelewa kufika, Tena akafika simu imezima chaji wakati angepanda basi kubwa angeichaji na simu yake.


Watu wachache sana wanaweza kua "OPTIMISTIC" Kwenye hii sayari - just 1%.
Mitizamo hasi hiyo inamtesa
 
Back
Top Bottom