bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
We live everyday,we only die onceUna umri gani?kula bata maana yake ni kufanya starehe...starehe yoyote utakayoifurahia uilipie au kutoilipia ili mradi umestarehw iite bata
Japo vijana wa mjini kula bata inamaana ya kutumia fedha kwenye pombe, mziki, ngono, kamari na mengineyo bila kuwa na feeling ya kujutia...we only live once
Sent using Jamii Forums mobile app