Wanariadha wa Kenya wanatumia vidonge

Wanariadha wa Kenya wanatumia vidonge

Wacha1

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2009
Posts
16,681
Reaction score
8,241
Shutuma zimetolewa na vyombo vya habari kwamba wanariadha wa Kenya na wale wanaokwenda kufanya mazoezi Nchini Kenya wanatumia banned substances kuwawezesha kushinda kwenye mashindano mbalimbali.

Haya chacha tuone watatoka vipi maana madaktari ambao wana ushahidi wamesema wanariadha wengi wamekuwa wakiwaomba msaada wa kutumia vidonge ambavyo vimepigwa marufuku. Viongozi wa juu Nchini Kenya wamekataa kujibu simu kwa tuhuma hizi ambazo ndio kwanza zinaanza kuwaka moto.
 
duh! Hata Semenya walimsemenya wee mwishowe akawasemenya wasemenyaji.
 
Source please?
Kama hatujui kukimbia na kuvuna medals basi tufunge midomo badala ya kuanza wivu usiokuwa na msingi

Mkuu sio uzushi hizi ni habari za uhakika na madaktari tayari wana evidence ... .. recorded hivi sasa wanajaribu kila mbinu kupata msemaji wa Kenya lakini jamaa wanagwaya more will come on this nitakapokuwa na muda . Hii habari nimethibitisha mimi mwenyewe ........ ..... siwezi kuzua jambo kama hili sina hiyo sababu na huwa sizushi.

 
Mbona mashindano ya olympic yamekwisha,acha tusubiri matokeo.NO HURRY IN AFRICA!
 
this is no news, niasiku nyingi sana, unajua the mzungu huaga they want to get into bottom of things na mi sidhani kama they can lie on this ..for what? ..kimsingi, hio ndio inakwitwa 'kenyan aggressiveness' lol, way to go mngiki
 
Kenyan athletes under scrutiny in doping inquiry

An investigation into allegations of widespread doping by Kenyan middle and long-distance runners has been launched following an undercover sting.

Nick Holt said:
The Kenyan police, Athletics Kenya and the World Anti-Doping Agency are probing accusations that doctors in Kenya have injected runners with banned substances in return for a portion of the athletes' winnings.

The allegations surfaced over the weekend when a German journalist, Hajo Seppelt, revealed he had spent months in Kenya posing as a sports agent in order to gather evidence. He alleged doping is rife among Kenya's runners and the foreign athletes who train in the Rift Valley, a popular base due to its altitude.

"We are working with the Kenya Police and World Anti-Doping Agency to have the culprits arrested for that criminal act," said Isaiah Kiplagat, the chairman of Athletics Kenya. "Kenyans are usually under a microscope for the good performance internationally and for credibility, we have to ensure that anti-doping measures are in place to avoid being suspected." Kiplagat said he expects some doctors to be arrested before December.

A spokesman for WADA confirmed to Telegraph Sport that it was aware of the allegations. "WADA is aware of the doping allegations in Kenya and has been in communication with the relevant Kenyan authorities. An inquiry has commenced and WADA will continue to monitor its progress."

Seppelt's allegations centre on the use of blood-boosting substances that increase the number of oxygen-carrying red blood cells in the body. He interviewed a former Danish anti-doping official who claimed to have observed changes in the red blood cell counts of some Kenyans who raced in Europe between 2008 and 2010.


It is not the first time this year Kenya's runners have been at the centre of a doping scandal. On the day after David Rudisha's world record victory in the 800m final at the London Olympics, distance runner Mathew Kisorio failed a drugs test after testing positive at the Kenyan Athletics Championships.

Kisorio confessed and levelled a wide range of accusations saying doping was rife in Kenya with doctors corrupting athletes. "They open a pharmacy and claim they're selling legal medication" he said. "Then they approach the athletes. It's the same all over the country. Athletics Kenya knows now what the situation is. Maybe this is an ongoing problem that finally surfaces."

Kiplagat insisted that from next year more advanced testing would be in use in Kenya as they look to crack down on a problem which threatens to tarnish the country's great running tradition. From 2013 it will be mandatory for directors of domestic racing events to have doping equipment on site. Top-class runners from around the world, including Britons Mo Farah and Paula Radcliffe, have used the Rift Valley as a training camp and Kenyan officials will be desperate to protect the sport's reputation for fear of high-profile athletes being put off using the country as a base.
Kenyan athletes under scrutiny in doping inquiry - Telegraph
 
Duh kumbe ndiyo maana wanachota medal kibao.
 
Mkuu tatizo hili liko wide-spread karibu Dunia nzima, siyo Kenya tu - wana riadha wengi Duniani wanakuwa under tremendous pressure kushinda - wanaweza kufanya lolote ili washinde!

Kitu kingine tunapaswa kuwa wangalifu na media za magharibi, wakati mwingne wanapenda sana kuonyesha kwamba ushindi wa Wakenya kwenye mbio za marathon na nyingine siyo natural, lazima wanatumia madawa ya ku-boost performance!!! Lakini wanasahau kwamba wana riadha wa Kiafrica walio pita walikuwa clean kabisa chukulia wana riadha kama: Antao, Keino, Ben Jipcho, Abebe. Filbert Bayi nk.

Nakumbuka juzi juzi hapa walikuwa wanamwandama kabinti kadogo ka Kichina eti kanatumia madawa ya kuongeza nguvu ndio maana kanashinda sana kwenye mbio za kuogelea! Kumbe kibinti chenyewe kilianza mazoezi ya kuogelea kingali na miaka mitatu/minne; Wazungu hawataki kuamini hilo - lazima mshindi hawe mzungu tu rangi nyingine wanaona siyo jadi yao, ni watu wa ajabu sana! Niliwahi kushuhudia huko Ulaya wakimsema sema na kumkebehi msichana mwenye asili ya Africa ambaye alikuwa ni hodari sana katika mashindano ya ice skating , majaji walikuwa hawampendi kweli kweli.

Nimalizie kusema kwamba tuzianze kuwalahumu wa Kenya kwenye mabo yenye utata sana, tuache watu independent wa-comfirm kama kweli madawa yanatumika ku-boost performance ya wana riadha wa Kenya na Wengine katika bara la Africa.
 
Hii kitu inaweza kuwepo but naamini ni sehemu ndogo sana...mafanikio makubwa kwa wanariadha wa Kenya ni kujituma na maandalizi ya muda mrefu.
 
Mtawaweza watu wa makabila ya kifugaji kwa mbio?
Wana pumzi, wana miguu mirefu, wana kila kitu.
Wivu tu!
 
ni maumbile yao na mazoezi wafanyayo ndo siri ya mafanikio yao katika riadha. suala la dawa laweza kuwepo lakini biologically ni watu ambao wanaweza kukimbia
 
Mkuu sio uzushi hizi ni habari za uhakika na madaktari tayari wana evidence ... .. recorded hivi sasa wanajaribu kila mbinu kupata msemaji wa Kenya lakini jamaa wanagwaya more will come on this nitakapokuwa na muda . Hii habari nimethibitisha mimi mwenyewe ........ ..... siwezi kuzua jambo kama hili sina hiyo sababu na huwa sizushi.



Tupe source ili tuwe na uhakika, hayo mengine ni story tu. Ninavyoelewa WADA wapo juu sana katika kupima madawa yaliyozuiwa michezoni, iweje wakenya waweze kukwepa?
 
Tupe source ili tuwe na uhakika, hayo mengine ni story tu. Ninavyoelewa WADA wapo juu sana katika kupima madawa yaliyozuiwa michezoni, iweje wakenya waweze kukwepa?


Soma vizuri, hiyo story mwanzo haikuwa quoted ... .... soma post 9. wanariadha wote wanaoshikwa ni baada ya miaka kadhaa, inajulikana na watashikwa tu ... ..

 
Msomali wa kiingereza Mo Farah chacha analia baada ya kugundulika ni mtumiaji wa madawa.
 
Back
Top Bottom