Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Paris hipi unazungumzia ambayo niyakawaida?Naangalia picha za Paris aisee pa kawaida sana
Kuna kuna mmoja ata kuwa kwenye tatu bora.Kila la kheri kwako kupindua meza ila naona mwisho wa siku tutampongeza Mmoja kwa kuingia kumi Bora.
Natizama ZBC2, wako kwenye hii wanayoonyesha sasa?LEO, saa 3:30 asubuhi sehemu ya wanariadha watakaokimbia katika Olympics wamo Watanzania pia Alphonce Felix Simbu na Gabriel Gerald Geay
Mashindano haya Olympic yanaruka mbashara kupitia #ZBC2
#Olympic #Olympicgame #Paris
Hii yanayopofanyika mashindano ni pa kawaida sanaMkuu Paris hipi unazungumzia ambayo niyakawaida?
Wa kuona aibu awe mtanzania!?mbona hata kabla team haijaenda wote tunajua hakuna medal labda watoe kumi ila 3 ni hatupatiTupate hata medali jamani, juzi Zambia wamepata tukikosa itakuwa aibu sana.
Huwezi kupeleka washiriki 7 kwa nchi kubwa kama hii ya Tanzania halafu ujipe matumaini ya kupata medali. Tunazidiwa hadi na nchi ya juzi tu hapa South Sudan walipeleka hadi timu ya basketball na washiriki wengi tu.Tupate hata medali jamani, juzi Zambia wamepata tukikosa itakuwa aibu sana.
Number 5 SimbuWaliopo mbele
(1).Ethiopia
(2).USA
(3). Ethiopia
Siwaoni watanzania, au wamefunikwa huko katikati?
Simbu yuko nafasi yavl tati so far nusu ya kwanza imeishaLEO, saa 3:30 asubuhi sehemu ya wanariadha watakaokimbia katika Olympics wamo Watanzania pia Alphonce Felix Simbu na Gabriel Gerald Geay
Mashindano haya Olympic yanaruka mbashara kupitia #ZBC2
#Olympic #Olympicgame #Paris
Naona Simbu na Tanzania inatajwa sana na watangazajiNumber 5 Simbu