Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

Our boy Simbu anatuwakilisha vizuri. Yuko kwenye lead group hata mtangazaji kamzungumzia vizuri sana dakika 1 iliyopita.

I am proud of him. Until this time he has impressed me a lot.

Simbu piga hao jamaa. Nifurahishe kama Tepogo wa Botswana alivyonifurahisha kwa kuwanyamazisha wale midomo wamarekani

Olympic is a very very relentless sports season, kama huna ubavh usijaribu. Mtangazaji anasema hali ya hewa ya Jua Paris, milima na miinuko bado jamaa wako fiti wanapambana sio jambo la utani.

Mshikaji wangu Kipchoje ameumia nyonga lakini bado yumo, bado anakomaa, ana ile no retreat no surrender. Kipchoje amejifunza kutoka kwa Legendary wetu John Akwari alieenda kushiriki Olympiki Mexico city 1968, akaumia goti, akaumia bega na nyonga baada ya kuanguka lakini akakomaa na kumaliza masaa 5 baadae. My country did not send me 5000 miles away to start the race, but to finish the race. Mwisho yeye ndio akawa star zaidi ya hata mshindi wa kwanza.
 
Kwakweli hii mijengo na mitaa ya huko paris ni kielelezo cha ukwasi huko na kinatupa picha kwamba sisi huku tunaishi kwenye vibanda
Marathon
Nimetoka kusema Hilo hawa watu hawako mbali wako kwenye dunia Yao
Ifike hatua tuwape watuongoze angalau miaka 100 tu Kisha waturejeshee nchi yetu naamini watatuacha mbali sana
 
Nimetoka kusema Hilo hawa watu hawako mbali wako kwenye dunia Yao
Ifike hatua tuwape watuongoze angalau miaka 100 tu Kisha waturejeshee nchi yetu naamini watatuacha mbali sana
Yani ni magorofa tupu na hioni haya tunayo yaita madirisha ya aluminiun yanayotamba kwenye magorofa ya hapa tz 😁😁 kuta za majengo hayo na finishing iliyofanyika vinatoa jibu moja tu kwamba hayo majengo ni imara na hayatachoka leo wala kesho
 
Simbu anaweza kututoa kimasomaso...ngoja tuone!
 
Hivi tu kumuona Simbu hapa nimefarijika, tungepeleka washiriki wengi na hivi nimefuatilia haya mashindano kwa ukaribu ingependeza kweli yani.
Kuna mmoja anaitwa Guey naye yupo nyuma kidogo
 
Mipango miji ya huko inavutia sana.pamoja na kuwa viongozi wetu wanasafairi Kila siku Kwa Nchi za wenzetu lakini hata kuiga vizuri vya wenzetu wameshindwa.Ukiangalia Dar ilivyo holela hadi unajiuliza waliopewa dhamana huwa hawaoni?
 
Yani ni magorofa tupu na hioni haya tunayo yaita madirisha ya aluminiun yanayotamba kwenye magorofa ya hapa tz 😁😁 kuta za majengo hayo na finishing iliyofanyika vinatoa jibu moja tu kwamba hayo majengo ni imara na hayatachoka leo wala kesho
Na rangi ni Moja ya Kuta na roofing Sina la kusema kwa ninachoona
 
Ila ile mijengo inavyoonekana kwa juu ni nyoko aisee..astonishing! Yale mazingira sio mchezo..ni kijani kibichi tu! Manshion za maana! Wenzetu wanaishi! Ila hata kule kwetu lushoto ni kama vile tu..😂
 
Mwamba huyu hapa
20240810_102212.jpg
 
Back
Top Bottom