Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Nanuku...hymen(utando) yaani membrane nyembamba sana hufunika vagina,kwa mwanamke bikra ambaye hajui mwanamume uonekana tundu dogo tu,lakini akilala na mwanaume hymen hiyo hupasuka
na akizaa ndipo hupasuka kabisa na sehemu ndogo zitakazobaki huitwa carunculae myratiformas...mwisho wa kunukuu
kwahiyo bikra uanza kutoka wakati msichana akikutana na mwanaume kwa mara ya kwanza,na inaisha kutoka kabisa wakati wa kujifungua.
Source: kitabu;maarifa ya kuzalisha by Albert.R..Cook.
na akizaa ndipo hupasuka kabisa na sehemu ndogo zitakazobaki huitwa carunculae myratiformas...mwisho wa kunukuu
kwahiyo bikra uanza kutoka wakati msichana akikutana na mwanaume kwa mara ya kwanza,na inaisha kutoka kabisa wakati wa kujifungua.
Source: kitabu;maarifa ya kuzalisha by Albert.R..Cook.