Wanasayansi wagundua jiwe lenye ‘utajiri wa kutisha’ angani

Leo tuna mkutano wa wazazi hapa kwenye Ukumbi wa kata yetu,
Mada kuu kujadili shule yetu ya kata ina matundu ya choo manne tu ambayo yanatumika na watoto wa jinsia zote

Ntawapa update zaidi
Hahahaha
 
It does not make sense at all! Sasa kama ni utajiri wa dunia nzima? Nani atakayeweza kununua hayo madini hapa duniani? Ama tukiamua kuuza tutauza wapi?
 
Nadhani njia sahihi ya kuitajirisha duniani ni kutengeneza hela nyingi tu ili tukashindanie hela na akina jaduu
 
Tukiuza au wakiamua kuuza hao wamarekani???? Wabongo tujitoe hapo
 
We kazi yako ni kulaumu tu . Ukishajua Umechelewa kaza Buti Run.
Kwa mimi mchango wangu katika taifa hili kisayansi ni zero maana tuliagana mara tu baada ya kumaliza form 4, miaka 2 mbele taifa lianze kunidai mchango wangu wakidiplomasia.
Cha msingi kila mmoja aliposimama aonyeshe effects. sio kuwasoma akina Isaack Newton, na Archimedence tu .Kazi ya kukalili Sijui Chandy tu huku hueleweki na malengo huna.Kuna mwanafunzi kidato cha tano wakati huo bado wiki mbili hivi amalize kidato cha tano aingie cha sita namuuliza malengo yake nini anabaki anacheka tu anasema hajui ataona hapohapo
 
Nasa wajanja sana, wanataka bajeti yao iongezwe na kwasababu donut trump ni mfanyabiashara wamemfikisha.
 
jua lilizaliwa!
 
KWETU HABARI NZITO NI JAMAA ATOKA NJE YA EAST AFRICA !!!
 
kwa hiyo jua limezaliwa miaka milioni 10 iliyo pita hawa nasa bhana nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…