Wanasheria(Baadhi) mnadhalilisha taaluma ya sheria


Unakosea kimsema...ni haki yake kisheria kwa kifungu 18(a) cha katiba...haki ya kitoa maon yake bila kuingiliwa
 
Wewe na huyo mwanasheria ni vilaza tu, serikali moja, nchi moja ndio mpango mzuri.
 
Sijaona hoja yako ya msingi kuwalaum wanasheria hapa. Alichosema ndo anachokiamini na wewe una haki ya kusema unachokiamini kwa nn utake na wengine wakufuate wewe na hapa wewe ndo unamatatizo unafikiri wansheria ndio wanaweza kutoa maamuzi ya mwisho kwa iyo wakitoa mawazo tofauti na wewe basi wanasheria hawafai,badilika kimawzo tafadhali
 

Nikweli huyubwana atambue kwamba kilamtu anamawazo yake.
 
Mimi naamini katika serikali mbili na haki yangu kikatiba kuwaza hivyo.
 
Kenyamanyori your objection overruled because counselor was correct.
 
ikiwa Shivji ametea Serikali mbili na ndiye Mwalimu wao kuna nini tena hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…