Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
- Thread starter
-
- #21
Unajua tofauti ya mwalimu wa sheria na mwanasheria ambaye si mwalimu wa sheria?
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]
usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]
usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?
UNAWEZA KUWA MWALIMU WA SHERIA BILA KUSOMEA SHERIA? AU UNAWEZA KUWA MWANASHERIA BILA KUJUA SHERIA?
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]
usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?
UNAWEZA KUWA MWALIMU WA SHERIA BILA KUSOMEA SHERIA? AU UNAWEZA KUWA MWANASHERIA BILA KUJUA SHERIA?
where is the point?
where is the point?
point Ni Kwamba Awe Ni Mwal Wa Sheria Au Awe Ni Mwanasheria Wote Wanauwezo Wa Kujibu Maswali Yahusuyo Sheria,nilikuwa Namjibu Aliyedai Nitofautishe Mwanasheria Na Mwal Wa Sheria.
point Ni Kwamba Awe Ni Mwal Wa Sheria Au Awe Ni Mwanasheria Wote Wanauwezo Wa Kujibu Maswali Yahusuyo Sheria,nilikuwa Namjibu Aliyedai Nitofautishe Mwanasheria Na Mwal Wa Sheria.
"mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha"
Hapo kwenye blue ni jibu lako na sio langu remember...
Tafadhali elewa resposibilities za kila mmoja. Hapa unajibiwa ila unataka uambiwe vifungu, kwani upo darasani humu? Unadhani ukiambiwa vifungu basi utaelewa kirahisi rahisi hivyo? Ndio maana wakawekwa walimu wa sheria.... understood?
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]
usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?
Hyo blue ungeieka mpaka kwenye lakini wote wanaweza kujibu maswali yahusuyo sheria ungekua sahihi na mwenye hoja kamili, anachoongelea jamaa ni swala la kutoa msaada wa kujibu maswal ya kisheria humu ndani na sio kuongelea majukumu
Wewe ukiajiriwa ofisini kwaajili ya kupanga mafile, kazi yako itakuwa ni hiyo tu... unaweza kuingilia kazi za mwenzako za kuyatengeneza mafaili hayo? mbona mnakuwa wagumu kuelewa maana ya responsibilities?Hyo blue ungeieka mpaka kwenye lakini wote wanaweza kujibu maswali yahusuyo sheria ungekua sahihi na mwenye hoja kamili, anachoongelea jamaa ni swala la kutoa msaada wa kujibu maswal ya kisheria humu ndani na sio kuongelea majukumu
Mwalimu wa sheria atakwambia hadi vifungu kwasababu ndio kazi yake.
Mwanasheria atakutafsiria na kukupa ushauri... upo?
Huwezi kuona hoja yoyote ya msingi kwasababu hujui tofauti yake.:redface:Mkuu nimekupa heko na LIKE juu, swali lake kweli halina hoja
haha,,kwahiyo kujibu maswali ya kisheria hapa jamvini ni kuingilia majukumu ya mwenzako? yupi ss? dada kweli huna hojaWewe ukiajiriwa ofisini kwaajili ya kupanga mafile, kazi yako itakuwa ni hiyo tu... unaweza kuingilia kazi za mwenzako za kuyatengeneza mafaili hayo? mbona mnakuwa wagumu kuelewa maana ya responsibilities?
Mwalimu wa sheria atakwambia hadi vifungu kwasababu ndio kazi yake.
Mwanasheria atakutafsiria na kukupa ushauri... upo?
Sijui kama unaelewa kinachoongelewa bro.haha,,kwahiyo kujibu maswali ya kisheria hapa jamvini ni kuingilia majukumu ya mwenzako? yupi ss? dada kweli huna hoja
The thinh is mwanasheria anapaswa kujibu kwa vifungu. Jaribu wewe kuvaa viatu vya hao wanasheria, then mada inawekwa jamvini, would you answer kila swali kwa vifungu? hata kama ni majibu ya ndio na hapana...Hapo si kumpoteza mtu asikuelewe tu.
Acha kukurupuka....
kwanza hujajibu swali, pili hapa jamvini sio mahakamani wala sio ofisini eti kila swali litakaloulizwa ujibu kwa vifungu,,na hata ukiamua kujibu kwa vifungu unaweza ukajibu tu mtu akaenda kuvitafuta hivo vifungu ye mwenyeweSijui kama unaelewa kinachoongelewa bro.
The thinh is mwanasheria anapaswa kujibu kwa vifungu. Jaribu wewe kuvaa viatu vya hao wanasheria, then mada inawekwa jamvini, would you answer kila swali kwa vifungu? hata kama ni majibu ya ndio na hapana...Hapo si kumpoteza mtu asikuelewe tu.
Acha kukurupuka....
we ndo ulikurupuka bibie
hahahaaaaa... lol...kwanza hujajibu swali, pili hapa jamvini sio mahakamani wala sio ofisini eti kila swali litakaloulizwa ujibu kwa vifungu,,na hata ukiamua kujibu kwa vifungu unaweza ukajibu tu mtu akaenda kuvitafuta hivo vifungu ye mwenyewe
we ndo ulikurupuka bibie
Unanifurahisha sana mkuu kwasababu kitu ulichoongea sasa ivi ndicho huyo mtoa mada haelewi... wae nae unakuja hapa kwa shari ukidhani unamtetea mtoa mada kumbe hujielewi.... too bad... sooo sad...
hicho kicheko cha kujipa moyo na kupunguza uchungu mana umejiona kabisa huna hoja mamahahahaaaaa... lol...
Unanifurahisha sana mkuu kwasababu kitu ulichoongea sasa ivi ndicho huyo mtoa mada haelewi... wae nae unakuja hapa kwa shari ukidhani unamtetea mtoa mada kumbe hujielewi.... too bad... sooo sad...
bt i like u anyway...hehe
then mi sijaja kwa shari hata,,umepanik ww eehhicho kicheko cha kujipa moyo na kupunguza uchungu mana umejiona kabisa huna hoja mama
bt i like u anyway...hehe
still like u nameless girl
Uchungu kwa kuwa na freak in here?hicho kicheko cha kujipa moyo na kupunguza uchungu mana umejiona kabisa huna hoja mama
bt i like u anyway...hehe
l will never hate you... unajua kwanini nakushangaa?then mi sijaja kwa shari hata,,umepanik ww eeh
still like u nameless girl