Wanasheria Badilikeni, Toeni majibu ya kisheria

Wanasheria Badilikeni, Toeni majibu ya kisheria

Unajua tofauti ya mwalimu wa sheria na mwanasheria ambaye si mwalimu wa sheria?

mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.
 
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]



usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?
 
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]



usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?

UNAWEZA KUWA MWALIMU WA SHERIA BILA KUSOMEA SHERIA? AU UNAWEZA KUWA MWANASHERIA BILA KUJUA SHERIA?
 
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]



usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?
 
point Ni Kwamba Awe Ni Mwal Wa Sheria Au Awe Ni Mwanasheria Wote Wanauwezo Wa Kujibu Maswali Yahusuyo Sheria,nilikuwa Namjibu Aliyedai Nitofautishe Mwanasheria Na Mwal Wa Sheria.

"mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha"
Hapo kwenye blue ni jibu lako na sio langu remember...
Tafadhali elewa resposibilities za kila mmoja. Hapa unajibiwa ila unataka uambiwe vifungu, kwani upo darasani humu? Unadhani ukiambiwa vifungu basi utaelewa kirahisi rahisi hivyo? Ndio maana wakawekwa walimu wa sheria.... understood?
 
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.

Mkuu nimekupa heko na LIKE juu, swali lake kweli halina hoja
 
mwanasheria anasimama mahakamani na mwalimu wa sheria anasimama darasani kufundisha lakini wote wanajua sheria,na wote wanaweza kujibu maswali yanayohusu sheria,swali lako unauliza kuwa unajua tofauti ya mwalimu anayefundisha na afisa elimu au mkuu wa shule? hao wote ni waalimu isipokuwa huyu anafundisha darasani na huyu mwingine hafundishi darasani lakini wote ni waalim na wanaujua ualimu.kwahy swali lako halina hoja ya msingi kajipange upya ujenge hoja ya msingi.[/QUOTE]



usiende mbali sana... jibu liko kwenye blue.. hayo mengine kwenye black wala sitaki kuyajua....
Hapo kwenye Green inaonyesha hujui responsibilities za kila mmoja hapo.
Maana kama ungekua unajua tofauti hiyo usingepiga kelele humu ndani?
How are you dear?

Hyo blue ungeieka mpaka kwenye lakini wote wanaweza kujibu maswali yahusuyo sheria ungekua sahihi na mwenye hoja kamili, anachoongelea jamaa ni swala la kutoa msaada wa kujibu maswal ya kisheria humu ndani na sio kuongelea majukumu
 
Tunapenda kuwapa ushauri wakati mwingine lakini unakuta wakati mwingine mleta hoja au swali anakuuliza kitu uku akificha habari yenyewe kiasi kwamba unashindwa kujua hoja yake iko wapi na ndiyo maana mara nyingi unakuta unajibiwa kijuu juu maana hujaeleweka, pili hata kabla wanasheria hawatoa majibu wanapita watu wasio wanasheria na kutoa majibu ya utani, na kwa namna hiyo unakuta mwanasheria anahamua kuacha maana itakuwa ni kupoteza muda na kwa mawanasheria muda ni kitu muhimu sana
 
Hyo blue ungeieka mpaka kwenye lakini wote wanaweza kujibu maswali yahusuyo sheria ungekua sahihi na mwenye hoja kamili, anachoongelea jamaa ni swala la kutoa msaada wa kujibu maswal ya kisheria humu ndani na sio kuongelea majukumu
Wewe ukiajiriwa ofisini kwaajili ya kupanga mafile, kazi yako itakuwa ni hiyo tu... unaweza kuingilia kazi za mwenzako za kuyatengeneza mafaili hayo? mbona mnakuwa wagumu kuelewa maana ya responsibilities?
Mwalimu wa sheria atakwambia hadi vifungu kwasababu ndio kazi yake.
Mwanasheria atakutafsiria na kukupa ushauri... upo?
 
Wewe ukiajiriwa ofisini kwaajili ya kupanga mafile, kazi yako itakuwa ni hiyo tu... unaweza kuingilia kazi za mwenzako za kuyatengeneza mafaili hayo? mbona mnakuwa wagumu kuelewa maana ya responsibilities?
Mwalimu wa sheria atakwambia hadi vifungu kwasababu ndio kazi yake.
Mwanasheria atakutafsiria na kukupa ushauri... upo?
haha,,kwahiyo kujibu maswali ya kisheria hapa jamvini ni kuingilia majukumu ya mwenzako? yupi ss? dada kweli huna hoja
 
haha,,kwahiyo kujibu maswali ya kisheria hapa jamvini ni kuingilia majukumu ya mwenzako? yupi ss? dada kweli huna hoja
Sijui kama unaelewa kinachoongelewa bro.
The thinh is mwanasheria anapaswa kujibu kwa vifungu. Jaribu wewe kuvaa viatu vya hao wanasheria, then mada inawekwa jamvini, would you answer kila swali kwa vifungu? hata kama ni majibu ya ndio na hapana...Hapo si kumpoteza mtu asikuelewe tu.
Acha kukurupuka....
 
Sijui kama unaelewa kinachoongelewa bro.
The thinh is mwanasheria anapaswa kujibu kwa vifungu. Jaribu wewe kuvaa viatu vya hao wanasheria, then mada inawekwa jamvini, would you answer kila swali kwa vifungu? hata kama ni majibu ya ndio na hapana...Hapo si kumpoteza mtu asikuelewe tu.
Acha kukurupuka....
kwanza hujajibu swali, pili hapa jamvini sio mahakamani wala sio ofisini eti kila swali litakaloulizwa ujibu kwa vifungu,,na hata ukiamua kujibu kwa vifungu unaweza ukajibu tu mtu akaenda kuvitafuta hivo vifungu ye mwenyewe
we ndo ulikurupuka bibie
 
kwanza hujajibu swali, pili hapa jamvini sio mahakamani wala sio ofisini eti kila swali litakaloulizwa ujibu kwa vifungu,,na hata ukiamua kujibu kwa vifungu unaweza ukajibu tu mtu akaenda kuvitafuta hivo vifungu ye mwenyewe
we ndo ulikurupuka bibie
hahahaaaaa... lol...
Unanifurahisha sana mkuu kwasababu kitu ulichoongea sasa ivi ndicho huyo mtoa mada haelewi... wae nae unakuja hapa kwa shari ukidhani unamtetea mtoa mada kumbe hujielewi.... too bad... sooo sad...
 
hahahaaaaa... lol...
Unanifurahisha sana mkuu kwasababu kitu ulichoongea sasa ivi ndicho huyo mtoa mada haelewi... wae nae unakuja hapa kwa shari ukidhani unamtetea mtoa mada kumbe hujielewi.... too bad... sooo sad...
hicho kicheko cha kujipa moyo na kupunguza uchungu mana umejiona kabisa huna hoja mama
bt i like u anyway...hehe
 
Back
Top Bottom