Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mi nafikiri kuna upande huko sawa kuna upande hauko sawa.
Kwa namna ya maswali yanayo wekwa humu ni yale yanayo hitaji muongo na msaada wa haraka, hivyo kinacho fanyika hapa ni kutoa muongozo na msaada wa
haraka.
Hivyo majibu hutolewa kulingana na matwaka ya
Muomba ushauri.
Hivyo si lazima vifungu viwekwe lakini inategemea na matakwa ya swali, kuna wengine wana hitaji vifungu si mbaya kuweka.
Kwa namna ya maswali yanayo wekwa humu ni yale yanayo hitaji muongo na msaada wa haraka, hivyo kinacho fanyika hapa ni kutoa muongozo na msaada wa
haraka.
Hivyo majibu hutolewa kulingana na matwaka ya
Muomba ushauri.
Hivyo si lazima vifungu viwekwe lakini inategemea na matakwa ya swali, kuna wengine wana hitaji vifungu si mbaya kuweka.