Ndio hawa majaji Tundu Lissu huwa anawasema, hawawezi kuandika hata lugha ya kidato cha pili.
Huyu leo umpelekee kesi ya bunge limepitisha sheria inayovunja katiba, ataiweza wapi masikini ya Mungu.
Bill Gates kasema tutachukua miaka 500 kupiga hatua kwa vile elimu yetu ndogo.