Wanasheria mmezidi kizungu chenu 'kigumu'

Wanasheria mmezidi kizungu chenu 'kigumu'

poa tu

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
1,173
Reaction score
1,656
caccd331226e76ba9d0a97e8dcb2145e.jpg

Screenshot_20171012-175430.png
 

Attachments

Daah..kwa kweli hiki ni kingereza "kigumu"

Huyu mwanasheria kasoma wapi sijui
 
Ndio hawa majaji Tundu Lissu huwa anawasema, hawawezi kuandika hata lugha ya kidato cha pili.

Huyu leo umpelekee kesi ya bunge limepitisha sheria inayovunja katiba, ataiweza wapi masikini ya Mungu.

Bill Gates kasema tutachukua miaka 500 kupiga hatua kwa vile elimu yetu ndogo.
 
Heee , ugumu upo wap hapo
Mbona kmaa wametumia kiengereza cha nursery school
 
Ni cha kawaida.. hiki chetu tuliokimbia umande.. sasa angetumia kile advanced si ndio ungeona kachoronga kichina..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hakuna ugumu hapo mtafute rasi simba akupige brash kidogo
 
Kweli hii Lugha ilikuja na ndege aisee......Mahakama Kuu ZNZ ndio imeandika English ya Chekechea hivi!?
 
Back
Top Bottom