Wanasheria msaada: Nimedhamiria kumshtaki na kumfunga mwanangu wa kumzaa

Wanasheria msaada: Nimedhamiria kumshtaki na kumfunga mwanangu wa kumzaa

Mzazi anatakiwa kuandaa maisha bora kwa ajili ya uzao wake. Ukishindwa kuwekeza kwa watoto wako;ambao ndio urithi wako, ni hatari sana. Na matokeo yake ndio kama hayo.

Vumilia tu. Utasahau hayo maumivu muda si mrefu. Hakuna kitu chenye thamani duniani kama watoto. Wasiokuwa nao na wangetamani kuwa nao, wanatamani wapate hata kama huyo tapeli.

Japokuwa, malezi uliyomlea yanaweza kuwa chanzo cha hayo yote. Ukipata nafasi soma hatua za makuzi toka kwa mwanasaikolojia erick erickson
Kuna watu wamezeeka kwa mujibu wa miaka lkn hawajitambui majukumu yao kwa watoto. Huenda hata huyo mtoto hajapewa elimu bora
 
Usijibu kwa mihemko toa ushauri wako ww Kama hujaelewa comment yangu pita sio lazima ukaandika Kama huna Cha kuandika

Usijibu kwa mihemko toa ushauri wako ww Kama hujaelewa comment yangu pita sio lazima ukaandika Kama huna Cha kuandika
Sio kujibu kwa mihemko hapa ushauri wako unaweza kupokelewa au kukataliwa....in short umemshauri ujinga na hauna hekima. Hayo ni mawazo yangu. Bisha.
 
Sio kujibu kwa mihemko hapa ushauri wako unaweza kupokelewa au kukataliwa....in short umemshauri ujinga na hauna hekima. Hayo ni mawazo yangu. Bisha.
Mwenye kupokea au kukataa ushauri Ni mtoa post hapa umeongea ujinga
 
Umfunge miezi 6?

Hiyo ni damu yako kweli?

Kauza bei gani hicho kiwanja?
 
Back
Top Bottom