Wanasheria msaada: Nimedhamiria kumshtaki na kumfunga mwanangu wa kumzaa

Kuna watu wamezeeka kwa mujibu wa miaka lkn hawajitambui majukumu yao kwa watoto. Huenda hata huyo mtoto hajapewa elimu bora
 
Usijibu kwa mihemko toa ushauri wako ww Kama hujaelewa comment yangu pita sio lazima ukaandika Kama huna Cha kuandika

Usijibu kwa mihemko toa ushauri wako ww Kama hujaelewa comment yangu pita sio lazima ukaandika Kama huna Cha kuandika
Sio kujibu kwa mihemko hapa ushauri wako unaweza kupokelewa au kukataliwa....in short umemshauri ujinga na hauna hekima. Hayo ni mawazo yangu. Bisha.
 
Sio kujibu kwa mihemko hapa ushauri wako unaweza kupokelewa au kukataliwa....in short umemshauri ujinga na hauna hekima. Hayo ni mawazo yangu. Bisha.
Mwenye kupokea au kukataa ushauri Ni mtoa post hapa umeongea ujinga
 
Umfunge miezi 6?

Hiyo ni damu yako kweli?

Kauza bei gani hicho kiwanja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…