Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mtu amempa mimba msichana chini ya umri wa miaka 18 anafungwa miaka 30! Huyu ameua mtu anasamehewa kunyongwa kisa, haki za binaadamu.
Nirudi kwa aliyempa mimba msichana, msichana akisha zaa mtoto atabaki na mama yake huku baba hata muona huenda kabisa kwani miaka 30 mama na baba yake watapotezana.
Huyu mama mtoto asipokuwa na uwezo wa kumtunza mtoto mtoto atapitia maisha yasiyo na mbele yenye neema huenda akaishia kutupwa jalalani au kukimbiwa na mama yake huku hakuna msaada toka serikalini.
Hivyo mama na mtoto hawafaidiki na hukumu, mahakama kazi yake ni kuhukumu bila kujali maisha ya baadae ya mama na mtoto huku serikali nayo haifaidiki zaidi ya kugharamiwa akiwa kifungoni, WHOSE FUTURE IS IT ANYWAY.
Nirudi kwa aliyempa mimba msichana, msichana akisha zaa mtoto atabaki na mama yake huku baba hata muona huenda kabisa kwani miaka 30 mama na baba yake watapotezana.
Huyu mama mtoto asipokuwa na uwezo wa kumtunza mtoto mtoto atapitia maisha yasiyo na mbele yenye neema huenda akaishia kutupwa jalalani au kukimbiwa na mama yake huku hakuna msaada toka serikalini.
Hivyo mama na mtoto hawafaidiki na hukumu, mahakama kazi yake ni kuhukumu bila kujali maisha ya baadae ya mama na mtoto huku serikali nayo haifaidiki zaidi ya kugharamiwa akiwa kifungoni, WHOSE FUTURE IS IT ANYWAY.