MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Poleni na kazi ngumu ya utafsiri sheria, hata hivyo nahitaji kujua au kupatiwa nakala (softcopy) kwa lugha ya kiswahili za vitu vifuatavyo:
1. mwenendo wa makosa ya jinai
2. Taratibu za sheria ya jinai
3.Sheria ya biashara na mikataba
4. jinsi ya kuendesha kesi za jinai
5.kanuni ya adhabu.
6, sheria ya ushahidi na mwenendo wake,
baadhi ya documrnts nnazo kwa lugha ya kiingereza mf. the sale of goods Act na the proceeds of crime act (kama sijakosea)
wasalaam!
1. mwenendo wa makosa ya jinai
2. Taratibu za sheria ya jinai
3.Sheria ya biashara na mikataba
4. jinsi ya kuendesha kesi za jinai
5.kanuni ya adhabu.
6, sheria ya ushahidi na mwenendo wake,
baadhi ya documrnts nnazo kwa lugha ya kiingereza mf. the sale of goods Act na the proceeds of crime act (kama sijakosea)
wasalaam!