Wanasheria naomba mpitie na hapa pia tunaomba msaada na mawazo yenu kisheria

Wanasheria naomba mpitie na hapa pia tunaomba msaada na mawazo yenu kisheria

frank mkweli

Member
Joined
Aug 9, 2013
Posts
92
Reaction score
12
Habari wakuu, nna jamaa yangu alikuwa anafanya Kazi kampuni tuiite X, lakin kampuni X ime outsource position yake kwenye kampuni Y ambayo kampuni Y ndo iliyo muajiri na kumpa mkataba na inahusika na issue zote za Mambo ya HR.
Sasa katik Kazi kuna mengi kampuni X inamshutumu jamaa ameisababishia hasara ya kiasi kinachozidi Milion 30 akapelekwa polisi akahojiwa akatoka Kwa dhamana ila kampuni X ikachukua maelezo ikaenda nayo kuyafanyia Kazi.
Swali je kampuni X inaweza kumstaki mtu ambaye haikumuajili kwenda nae mahakamani? Ni yupi anayetakiwa amstaki yeye kama kweli uchunguzi utabaini anahusika ni X au ni kampuni Y. Na je ikitokea akashinda kesi kama itaenda mahakamani fidia atalipwa na kampuni X au Y. Na kama atakutwa na hatia adhabu yake ni ipi kisheria?

NB. Mwanasheria makini pia anahitajika.
 
Sasa katik Kazi kuna mengi
Mengi?
Swali je kampuni X inaweza kumstaki mtu ambaye haikumuajili kwenda nae mahakamani?
Ndio, kwa madai ya kawaida au jinai na si kwa kesi ya ajira.​
Ni yupi anayetakiwa amstaki yeye kama kweli uchunguzi utabaini anahusika ni X au ni kampuni Y.
X ndiye muhusika aliyepata hasara na ndiye mwenye haki ya kushtaki (locus standi). Kuelewa hii concept unaweza kusoma Thread 'Nani ana uwezo wa kushtaki na kushtakiwa kisheria?'
Na je ikitokea akashinda kesi kama itaenda mahakamani fidia atalipwa na kampuni X au Y.
X
Na kama atakutwa na hatia adhabu yake ni ipi kisheria?
Kama ni kesi ya madai kawaida ni kulipa pesa hizo na baadhi ya gharam za kesi. Kama ni jinai inaweza kuwa kulipa izo fedha, faini au kifungo ama vyote kwapamoja.​
Habari wakuu, nna jamaa yangu alikuwa anafanya Kazi kampuni tuiite X, lakin kampuni X ime outsource position yake kwenye kampuni Y ambayo kampuni Y ndo iliyo muajiri na kumpa mkataba na inahusika na issue zote za Mambo ya HR.
Sasa katik Kazi kuna mengi kampuni X inamshutumu jamaa ameisababishia hasara ya kiasi kinachozidi Milion 30 akapelekwa polisi akahojiwa akatoka Kwa dhamana ila kampuni X ikachukua maelezo ikaenda nayo kuyafanyia Kazi.
Swali je kampuni X inaweza kumstaki mtu ambaye haikumuajili kwenda nae mahakamani? Ni yupi anayetakiwa amstaki yeye kama kweli uchunguzi utabaini anahusika ni X au ni kampuni Y. Na je ikitokea akashinda kesi kama itaenda mahakamani fidia atalipwa na kampuni X au Y. Na kama atakutwa na hatia adhabu yake ni ipi kisheria?

NB. Mwanasheria makini pia anahitajika.
In Short, maelezo uliyotoa hayatoshelezi kutoa majibu ya moja kwa moja kwa swali lako. Kesi za kisheria zinahitaji uchambuzi wa kina wa maelezo na ushahidi uliopo ili kufikia hitimisho sahihi. Kwanza, ni muhimu kutambua kwamba kila kesi ya kisheria ina muktadha wake na inahitaji kuchambuliwa kwa kuzingatia sheria na kanuni husika. Katika maelezo yako, kuna maswali kadhaa ambayo yanahitaji majibu ya ziada ili kupata ushauri sahihi:​
  1. Maelezo ya Mkataba: Je, kuna makubaliano yoyote yaliyoandikwa kati ya kampuni X na Y yanayoelezea jinsi ya kushughulikia masuala ya kisheria yanayomhusu rafiki yako?​
  2. Majukumu na Wajibu: Je, jamaa yako alikuwa na wajibu gani kimkataba na alivunja wajibu upi hasa, na je, kuna ushahidi wa kutosha kuthibitisha hilo?​
  3. Ushahidi wa Hasara: Je, kampuni X ina ushahidi wa kutosha kudhibitisha kwamba jamaa ndiye chanzo cha hasara iliyopatikana?​
  4. Mchakato wa Kisheria: Je, kampuni X imefuata mchakato wa kisheria unaofaa katika kushughulikia suala hili, ikiwa ni pamoja na kufanya uchunguzi wa ndani?​
Hivyo, bila maelezo ya kina na ushahidi wa kutosha, ni vigumu kutoa hitimisho la kisheria. Ni muhimu kwa rafiki yako kushauriana na wakili anayebobea katika sheria za makampuni na sheria za ajira ili kupata mwongozo sahihi na kujibu maswali haya kwa usahihi zaidi. Hii itasaidia kuhakikisha kwamba haki inatendeka na kwamba rafiki yako anapata uwakilishi wa kisheria unaostahili.✍️​
 
Asante sana mkuu umeclose kila kitu credit kwako, Nazani wewe ni mwanasheria?
 
Kaka sorry kuingia kwwenye mada yako. naomba ufaham kwenye shida yangu hii kisheria ikoje.

Nilmkopesha mshikaj mmoja pesa tukaandikiana na Mashahd wakawpo na M/Kti wa mtaa akatia sain muhur pia kwa makubaliano ya kwamba ikifka tarhe ya mwisho yaan 05/07/2024 hajakamilsha pesa nyumba ambayo ilikaa kama dhamana ya mkopo inakuwa mali yangu. sasa huyu jamaa alvyoona mwez wa mwisho unaelekea kufka na uwzo wa kuldsha pesa hana ikabd akaiuze kwa sir yaan akamfata mteja na kumwambia kuwa anauza nyumba yake.
Walvyokubaliana na mteja wakaita M/kit wa kijij wakafanya biashara wakowa kwa mnunuz.
Mshahd wakawa familia ya upande wa Muuzaj na familia ya upande wa mnunuz. na m/kit wa kijj akawa kama shahd tu.
sasa hapa mm nmekuja kujua bado kama week moja hiv kuwa yule jamaa aliuza nyumba kwa sir na alisha hama.
Wakat tunauziana Alinkabdh hat ya kiwanja kabla hata nyumba haijajngwa na biashara yao ilfanyika kwa sir nasma kwa sababu hata M/kit wa kijij tu hajui nyumba iko sehem gan kwa sababu walifanyia biashara kwa mnunuz.
Sasa hapa nashndwa nianzie wap nimshatki nan? Cause baaday mm kjua hilo ndo nilmfata M/kt wa kjj akasema kiukwl me skujua na biashara tulfanyia kwa mnunuz. kwa hyo hayo mengne mm sijui.

na mwisho ni kufkia tarhe 5/7/2024 ndo mwisho sasa kabla ya tarehe kufka nataka niwe najua naaznia wap.

Niseme kwa muandiko nafkr kwenye mpangilio wa maandiko siko vzur.🙏🙏
 
Nashukuru 🙏.

Sahihi✅.
Kaka sorry kuingia kwwenye mada yako. naomba ufaham kwenye shida yangu hii kisheria ikoje.

Nilmkopesha mshikaj mmoja pesa tukaandikiana na Mashahd wakawpo na M/Kti wa mtaa akatia sain muhur pia kwa makubaliano ya kwamba ikifka tarhe ya mwisho yaan 05/07/2024 hajakamilsha pesa nyumba ambayo ilikaa kama dhamana ya mkopo inakuwa mali yangu. sasa huyu jamaa alvyoona mwez wa mwisho unaelekea kufka na uwzo wa kuldsha pesa hana ikabd akaiuze kwa sir yaan akamfata mteja na kumwambia kuwa anauza nyumba yake.
Walvyokubaliana na mteja wakaita M/kit wa kijij wakafanya biashara wakowa kwa mnunuz.
Mshahd wakawa familia ya upande wa Muuzaj na familia ya upande wa mnunuz. na m/kit wa kijj akawa kama shahd tu.
sasa hapa mm nmekuja kujua bado kama week moja hiv kuwa yule jamaa aliuza nyumba kwa sir na alisha hama.
Wakat tunauziana Alinkabdh hat ya kiwanja kabla hata nyumba haijajngwa na biashara yao ilfanyika kwa sir nasma kwa sababu hata M/kit wa kijij tu hajui nyumba iko sehem gan kwa sababu walifanyia biashara kwa mnunuz.
Sasa hapa nashndwa nianzie wap nimshatki nan? Cause baaday mm kjua hilo ndo nilmfata M/kt wa kjj akasema kiukwl me skujua na biashara tulfanyia kwa mnunuz. kwa hyo hayo mengne mm sijui.

na mwisho ni kufkia tarhe 5/7/2024 ndo mwisho sasa kabla ya tarehe kufka nataka niwe najua naaznia wap.

Niseme kwa muandiko nafkr kwenye mpangilio wa maandiko siko vzur.🙏🙏
 
Mkuu kiwanja kilikuwa hakijajengwa na hati alikupa manake wakati huo haki ya kiwanja ulikuwa nayo wew, asa uliruhusu vip matumizi ya kiwanja chako kama ujenzi wa nyumba wakat bado hujalipwa?
 
Kaka sorry kuingia kwwenye mada yako. naomba ufaham kwenye shida yangu hii kisheria ikoje.

Nilmkopesha mshikaj mmoja pesa tukaandikiana na Mashahd wakawpo na M/Kti wa mtaa akatia sain muhur pia kwa makubaliano ya kwamba ikifka tarhe ya mwisho yaan 05/07/2024 hajakamilsha pesa nyumba ambayo ilikaa kama dhamana ya mkopo inakuwa mali yangu. sasa huyu jamaa alvyoona mwez wa mwisho unaelekea kufka na uwzo wa kuldsha pesa hana ikabd akaiuze kwa sir yaan akamfata mteja na kumwambia kuwa anauza nyumba yake.
Walvyokubaliana na mteja wakaita M/kit wa kijij wakafanya biashara wakowa kwa mnunuz.
Mshahd wakawa familia ya upande wa Muuzaj na familia ya upande wa mnunuz. na m/kit wa kijj akawa kama shahd tu.
sasa hapa mm nmekuja kujua bado kama week moja hiv kuwa yule jamaa aliuza nyumba kwa sir na alisha hama.
Wakat tunauziana Alinkabdh hat ya kiwanja kabla hata nyumba haijajngwa na biashara yao ilfanyika kwa sir nasma kwa sababu hata M/kit wa kijij tu hajui nyumba iko sehem gan kwa sababu walifanyia biashara kwa mnunuz.
Sasa hapa nashndwa nianzie wap nimshatki nan? Cause baaday mm kjua hilo ndo nilmfata M/kt wa kjj akasema kiukwl me skujua na biashara tulfanyia kwa mnunuz. kwa hyo hayo mengne mm sijui.

na mwisho ni kufkia tarhe 5/7/2024 ndo mwisho sasa kabla ya tarehe kufka nataka niwe najua naaznia wap.

Niseme kwa muandiko nafkr kwenye mpangilio wa maandiko siko vzur.🙏🙏
Aisee pole sana ndugu yangu. Nikienda moja kwa moja kwenye swali lako, Kwanza subiri mpaka tarehe ya mwisho ya makubaliano itakapofika kisha endapo mkopaji atashindwa kutekeleza wajibu wake wa kulipa deni kulingana na makubaliano ya mkataba uliofikiwa, unayo haki ya kisheria kufungua shauri la madai mahakamani dhidi yake.

Hii itakuwa ni kesi ya uvunjifu wa mkataba (breach of contract) ambapo utahitaji kuonyesha ushahidi wa makubaliano yaliyokiukwa na madhara uliyoyapata kutokana na uvunjifu huo. Ni muhimu kuandaa nyaraka zote muhimu kama vile mkataba wa mkopo, uthibitisho wa malipo, na ushahidi wa mauzo ya nyumba yaliyofanyika bila ridhaa yako.​
 
Wakat tunauziana Alinkabdh hat ya kiwanja kabla hata nyumba haijajngwa na biashara yao ilfanyika kwa sir nasma kwa sababu hata M/kit wa kijij tu hajui nyumba iko sehem gan kwa sababu walifanyia biashara kwa mnunuz.
Hapa sijakuelewa vizuri, japo nimekujibu kwa namna ulivyo uliza na namna ninavyo fahamu.​
 
Hapa sijakuelewa vizuri, japo nimekujibu kwa namna ulivyo uliza na namna ninavyo fahamu.​
Nafkr Majbu yako yametosheleza hapo niltaka tu kukujulisha kuwa alinkadh had hati ya kiwanja nikiwa namaansha nina hat 2 ya kukil kupkea pesa na iktokea hajakamilsha nichkue nyumba na hyo hat yaambayo alnunua kiwanja yeye.
 
Back
Top Bottom