Hujaelewa nini?Kk ndo ushaur huuu ?ninyi ndo mnasubr mtu auwe sabb ya kutaka kitu fulan badaye mnaanza kutoka mapovu kumlaumu
Nimeipenda hii Mkuu!Anzia ulikoanzia mwanzo kabla ya mtoto kupatikana
Mtoto ananijuaKama hujaoa usimchukue mtoto kwenda kumpa tu shida mwache uko tafuta pesa mpleke shule za boarding arudi likizo tu hawa madem waliosoma sheria bana we acha kama anaruhusu kumuona mtoto na mtoto anakujua kuwa ww ndo baba shida nn
Aliemaliza chuo ni mama wa mtoto kama sikosei mkuu nasio mtoto mwenyeweMtoto amemalizachuo alafu unatataka mamaake akupe?? Huyo ni mtu mzima, na anajukumu la kukutafuta kama mzaziwake, kama hukumtenda mabaya we tulia tu ata kutafuta mwenyewe.
Kama mtoto anakujua inatosha usipende kuweka ligi zakulazimisha mkuu fikilia kuwa unaanzisha kesi dem mwenyewe kasimea sheria ukute hakim anaponea apo kwa uyo dem unadhani utapenyaMtoto ananijua
ubabe hapo ndio kitu cha msingi! tumia tuu! atakaa chini mwenyewe!Mkuu kumuiba ntakuwa nimefuata sheria kwel ?au unanishaur nitumie ubabe ?na mwanamke mwenyew ni amesoma sheria
Thanks kwa ushaur wakoHuyo mtoto ana umri gani?
Maana kuna umri ambao mtoto anatakiwa kuwa chini ya malezi ya mama.
Wanawake wengi wasomi huwa na kiburi kwa sababu wana uhakika wa kumlea mtoto kutokana na kuwa na ajira. Cha kufanya weka mapenzi kwa mtoto,muhudumie bila kujali ajira ya mama yake.Itafika kipindi mtoto atakuwa anakufuata.Usijenge uadui na mama yake kwani itakuwa rahisi kwa mama (asiye na akili) kuhamisha huo uadui kwa mtoto na hasa akiwa chini ya mama yake.
Play smart
Naweza kupenyaa tyuu mkuu nikifuata sheria sabb hata mm sio laymanKama mtoto anakujua inatosha usipende kuweka ligi zakulazimisha mkuu fikilia kuwa unaanzisha kesi dem mwenyewe kasimea sheria ukute hakim anaponea apo kwa uyo dem unadhani utapenya