Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria


acha kufikiria hayo, kila proffesion ina umuhimu wake kuliko nyingine ama kwa maana nyingine tunategemeana. Mimi siwezi kua mwanasheria bila mwalimu nae mwalimu anaweza asifuzu masomo yake bila msaada wa doctor pale anapoumwa nk nk.
Proffession huendana na mtu, mimi siwez kusomea uhasibu sababu hesabu sijui vivyo hivyo mwingine hawezi kusomea sheria kwasababu its all about kusoma kila siku. So sikumaanisha kwamba wanasheria ndio wasomi bali ni fani inayochukuliwa na watu ambao wako willing kusomea na si kukurupuka.
 
Last edited by a moderator:

Mie humu maswala ya EMT hayanihusu. Hapa tunakutana kama members na si mwalimu wa sheria ama mwanafunzi. Thread iko wazi, haiongelei maswala ya kumdiscuss mtu.
 
Last edited by a moderator:
We ndo unanjaa, co ulikwepa kuitwa mwanasheria njaa bal ugumu wa ki2 chenyewe
 
I discovered something in here, there are some people who wanted 2 study law but they couldn't!! That's Y wapo "jukwaa la sheria" ili na wao wajione wanafahamufahamu vitu concerning law and advocacy! Pole sana!
Its an honor 2 be studying law, n kama una hamu, basi chukua japo kadiploma in law

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
We ndo unanjaa, co ulikwepa kuitwa mwanasheria njaa bal ugumu wa ki2 chenyewe
Sijui lini watu watafunguka Na kupambanua hoja, maoni, rai au maelezo.. Tumekuwa wa kichanganya changanya vitu pasipo mpangolio.. Anyway I love mathematics I love engineering it is about visible fact sio maneno maneno..!
.
R.I.P Madiba
"We shall not allow Fear to stand before our Way" Mandela
 
Bwa! ha! ha! ha! Si afadhali hata ningekosa hiyo admission ya kusoma sheria maana huenda hata ningekuwa admitted kusomea ualimu. Mwenzio hata form five sijafika.

Mi ni mbeba maboksi tu. Sina chuki na hao wasomi.

ooh kumbee!!.sasa naelewa kwanini unapenda kuji-show off kuwa wewe unakijua kizungu.mara kadhaa nimeshuhudia uki-bold neno au sentensi ya kingereza ktk post ya mtu kuonyesha makosa.kumbe wewe ni O-Level "uliyebahatika" kujua lugha ya kigeni!!.basi sawa,tuendelelee na mnakasha.nilichepuka tuu kidogo,mtaa huu sio mkaaji.teh teh teh.♬♪
 
wewe si wakulaumiwa ila walaumiwe wanasheria walio kupatia na wewe haki ya kujieleza kwani walijua wenye madudu vichwani kama ninyi mmeshakwisha kumbe umebaki wewe tu, haina shida watakuvumilia.ngoja nifikiri njia ya kukusaidia mtanzania mwenzangu...ok nimeipata njia ya kitoto kulingana na upeo wako, haya twende, no law no justice, no justice no peace, no peace no state, no state no you. bado hujaelewa? subiri utaelewa ukifika magereza kwani nacho ni chuo cha mafunzo.
 
Nyani

Nyani Ngabu Dont be like Peter. U pretend to be not a lawyer whilst u know in ur heart that ur. Unapata faida gani bro? Au unataka uonekane upo deep kwenye mambo ya sheria kuliko wanasheria wenyewe?
 
Dont be like Peter. U pretend to be not a lawyer whilst u know in ur heart that ur. Unapata faida gani bro? Au unataka uonekane upo deep kwenye mambo ya sheria kuliko wanasheria wenyewe?
Nani huyo tenaaaaaa???
 

Mkuu mimi nimekuelewa sana, Tena ungeweka kichwa cha mada, wanasheria matapeli Bongo.
Hio uzi ingekaa vizuri zaidi. Hapa Bongo usiombe kupatwa na kesi za mahakamani, kwasababu usipokua makini na wanasheria, watakutapeli na kukuacha kesi yako kama ilivyo. Na vile vile kuna vishoka ambao hawajaenda law school lakini utawakuta wapo mahakamani wakipiga dili za kutafuta kesi za watu na kuwadanganya hao watu ni wanasheria. Naongea ukweli kwasababu nime shuhudia laivu mambo hayo.
Ushauri wangu kwa watu, unapotafuta mwanasheria fanya uchunguzi kwanza sifa zake zipo vipi?? na usikubali kuingia mkataba wa kichwa kichwa na wanasheria bila kuangalia na wewe unanufaika vipi na kesi yako, Kwasababu utaliwa pesa zako na watakukimbia. hawana aibu hawa watu.
 
hapo kwenye red, ni vigumu sana kuelewa nilichoongea kama wewe sio mwanasheria, hapo ulipo unaweza kufikiri unao uwezo au unajua kitu kumbe haujui na hautakuja kujua ninachoongea hadi uwe mwanasheria.

Ni kipi atashindwa kukielewa. Eleza tuone akishindwa si ni juu yake, wewe tatizo lako ni nini!!!
 

Wakuu mko sahihi kabisa.
 
Jamaa kapagawa baada ya kuleftishwa UDOM na Magu na kuitwa 'kilaZa"
 
Kati ya Tumaini na Mzumbe ni wapi wanatoka wanasheria njaa?

Naona ubishani mkubwa,naombeni jibu
 
In JF huwezi kukuta forums ya msaada wa ujenzi wa nyumba, barabara au something alike, but LAW, fikiri mara mbili, Sheria haiko hivyo bro, LAW was there even before the operation of anything on this earth.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…