Wanasheria, TLS na Wanaharakati ingilieni kesi ya Mbowe na wenzake ili haki itendeke

Wanasheria, TLS na Wanaharakati ingilieni kesi ya Mbowe na wenzake ili haki itendeke

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomhusu mhe. Mbowe na wenzake watatu unatia mashaka, tangu mwanzo wa kesi upande wa mashitaka umekua na visingizio vingi vya ugonjwa vinavyowahusu mashahidi, hawa mashahidi 24 wenye maradhi dhidi ya washitakiwa 4 wenye afya imekua kama mchezo wa kuigiza.

Nia hasa ya upande wa mashitaka kufanya njama hizi inaanza kuonekana kama kuwakomoa washitakiwa ambao hawana haki sawa ya kusikilizwa na mahakama kama waliyonayo upande wa mashitaka, ni wazi washitakiwa wangefanya kama wafanyavyo upande wa mashitaka wangekwisha onywa na mahakama.

Wanasheria, TLS na wanaharakati pazeni sauti zenu mbadili mwenendo huu wa kesi wenye mashaka ili haki itendeke na mawakiri wa utetezi wapunguziwe mateso ya kupoteza muda wa kuwatetea washitakiwa.
 
Kwani haki haitendeki?

Mbona kila siku mnasema Kibatala kawafunda mashahidi wa serikari?

Kwa hiyo hayao mnayoandika kumbe ni uongo?
 
Namlaumu mtu ninayemheshimu na kum-admire sana tena sana Hon. Tundu Lissu, Rais wangu 2020 up today!. Alimsapoti Hosea tukalalamika, wakashupaza shingo. Ona sasa li Hosea limekaa kimya as if hakuna mtu anayeonewa wazi wazi na mahakama na serikali and to say it live the President/The executve!

Wake up TLS, Wake Up Hosea! Erythrocyte take note, please!
 
Mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomhusu mhe. Mbowe na wenzake watatu unatia mashaka, tangu mwanzo wa kesi upande wa mashitaka umekua na visingizio vingi vya ugonjwa vinavyowahusu mashahidi, hawa mashahidi 24 wenye maradhi dhidi ya washitakiwa 4 wenye afya imekua kama mchezo wa kuigiza!

Nia hasa ya upande wa mashitaka kufanya njama hizi inaanza kuonekana kama kuwakomoa washitakiwa ambao hawana haki sawa ya kusikilizwa na mahakama kama waliyonayo upande wa mashitaka, ni wazi washitakiwa wangefanya kama wafanyavyo upande wa mashitaka wangekwisha onywa na mahakama.

Wanasheria, TLS na wanaharakati pazeni sauti zenu mbadili mwenendo huu wa kesi wenye mashaka ili haki itendeke na mawakiri wa utetezi wapunguziwe mateso ya kupoteza muda wa kuwatetea washitakiwa.
[emoji871]Je!
Unaposema mashahidi wagonjwa 24,umewapima mashahidi hao na kuthibitisha unalolisema?

[emoji871]Hivi TLS haioni watu wengine wanateseka Magerezani,zaidi hata ya huyo Mbowe?

[emoji871]Kwa nini hamuwatetei na watanzania wengine,mmekazania Mbowe peke yake?

[emoji871]Mbowe ni mtanzania kama hao wengine,ingawa yeye anaachwa bila kupigwa pingu ilhali uzito wa tuhuma zinazpwakabili zinalingana.
 
Hapa kinachoonekana kuna haki na haki ipi ni muhimu zaidi ya nyingine, kwa mfano Mbowe na wenzake kuwa huru wakaungane na familia zao ni haki yao, lakini pia, shahidi kwenda kutibiwa ni haki yake na ya haraka zaidi, kwa maana kwamba afya ya mtu haina mbadala.

Tatizo linakuja kama huu mchezo ndio utakuwa ukijirudia kila wakati mahakamani pale ambapo mashahidi wa jamhuri wanapobanwa na mawakili wa utetezi hii haitakuwa haki tena bali ni kuchezea haki ya wengine.

Nasema hivyo nikikumbuka wakili wa jamhuri alipokwenda kuongea na shahidi wao baada ya maswali ya Kibatala kuzidi kuwa ya moto kwao ghafla wakili akamwambia jaji mteja wao hajisikii vizuri, huu ulikuwa ni usanii hapa jaji lazima awe mkali.
 
[emoji871]Je!
Unaposema mashahidi wagonjwa 24,umewapima mashahidi hao na kuthibitisha unalolisema?

[emoji871]Hivi TLS haioni watu wengine wanateseka Magerezani,zaidi hata ya huyo Mbowe?

[emoji871]Kwa nini hamuwatetei na watanzania wengine,mmekazania Mbowe peke yake?

[emoji871]Mbowe ni mtanzania kama hao wengine,ingawa yeye anaachwa bila kupigwa pingu ilhali uzito wa tuhuma zinazpwakabili zinalingana.
Asante ni haki yako kushiriki mjadala, ila ujue hawa 4 kila siku mguu na njia kwenda mahakamani ambako wanashinda kutwa nzima wakiwa wamekaa tuli.
 
Hapa kinachoonekana kuna haki na haki ipi ni muhimu zaidi ya nyingine, kwa mfano Mbowe na wenzake kuwa huru wakaungane na familia zao ni haki yao, lakini pia, shahidi kwenda kutibiwa ni haki yake na ya haraka zaidi, kwa maana kwamba afya ya mtu haina mbadala.

Tatizo linakuja kama huu mchezo ndio utakuwa ukijirudia kila wakati mahakamani pale ambapo mashahidi wa jamhuri wanapobanwa na mawakili wa utetezi hii haitakuwa haki tena bali ni kuchezea haki ya wengine.

Nasema hivyo nikikumbuka wakili wa jamhuri alipokwenda kuongea na shahidi wao baada ya maswali ya Kibatala kuzidi kuwa ya moto kwao ghafla wakili akamwambia jaji mteja wao hajisikii vizuri, huu ulikuwa ni usanii hapa jaji lazima awe mkali.
Kumbuka mwanzo wa kesi kuna shahidi eti alishindwa kufika mahakamani kwa kumuuguza baba yake lakini siku alipofika mahakamani akakanusha jambo hilo la kuuguliwa! Na hule wa kampuni ya simu naye haishi haja ndogo!
 
Mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomhusu mhe. Mbowe na wenzake watatu unatia mashaka, tangu mwanzo wa kesi upande wa mashitaka umekua na visingizio vingi vya ugonjwa vinavyowahusu mashahidi, hawa mashahidi 24 wenye maradhi dhidi ya washitakiwa 4 wenye afya imekua kama mchezo wa kuigiza.

Nia hasa ya upande wa mashitaka kufanya njama hizi inaanza kuonekana kama kuwakomoa washitakiwa ambao hawana haki sawa ya kusikilizwa na mahakama kama waliyonayo upande wa mashitaka, ni wazi washitakiwa wangefanya kama wafanyavyo upande wa mashitaka wangekwisha onywa na mahakama.

Wanasheria, TLS na wanaharakati pazeni sauti zenu mbadili mwenendo huu wa kesi wenye mashaka ili haki itendeke na mawakiri wa utetezi wapunguziwe mateso ya kupoteza muda wa kuwatetea washitakiwa.
TLS imerudi kuwa tawi la CCM, wanafukuzia teusi sahivi
 
Mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomhusu mhe. Mbowe na wenzake watatu unatia mashaka, tangu mwanzo wa kesi upande wa mashitaka umekua na visingizio vingi vya ugonjwa vinavyowahusu mashahidi, hawa mashahidi 24 wenye maradhi dhidi ya washitakiwa 4 wenye afya imekua kama mchezo wa kuigiza.

Nia hasa ya upande wa mashitaka kufanya njama hizi inaanza kuonekana kama kuwakomoa washitakiwa ambao hawana haki sawa ya kusikilizwa na mahakama kama waliyonayo upande wa mashitaka, ni wazi washitakiwa wangefanya kama wafanyavyo upande wa mashitaka wangekwisha onywa na mahakama.

Wanasheria, TLS na wanaharakati pazeni sauti zenu mbadili mwenendo huu wa kesi wenye mashaka ili haki itendeke na mawakiri wa utetezi wapunguziwe mateso ya kupoteza muda wa kuwatetea washitakiwa.
Tangu wajitokeze kuwa mashahidi wa uongo basi laana ya maradhi na afya dhaifu haijawaacha.

Mara kichwa mara tumbo mara homa. Basi mradi tu wakose kuwa na afya nzuri
 
[emoji871]Je!
Unaposema mashahidi wagonjwa 24,umewapima mashahidi hao na kuthibitisha unalolisema?

[emoji871]Hivi TLS haioni watu wengine wanateseka Magerezani,zaidi hata ya huyo Mbowe?

[emoji871]Kwa nini hamuwatetei na watanzania wengine,mmekazania Mbowe peke yake?

[emoji871]Mbowe ni mtanzania kama hao wengine,ingawa yeye anaachwa bila kupigwa pingu ilhali uzito wa tuhuma zinazpwakabili zinalingana.
Kila Mtanzania anatakiwa kutendewa Kadri Sheria inavyotaka. Watanzania wapenda haki huwa wanaumia sana pale mtu yeyote anavyotendewa kinyume na Sheria. Watanzania wengi wanateseka sana Kwa kuonewa na ndo maana ukifuatilia hizi kesi utaona tuhuma zisizo za Msingi Wala maslahi Kwa Watanzania Ila Kwa kikundi au mtu binafsi
 
CCM walichemka katika kesi hii, sasa kutuchama wanaona aibu na muda si rafiki kwao, wanachoomba kwa sasa ni Mh. Mbowe ajitokeze kuomba msahama ili iwe ahueni kwao kitu ambacho Mwamba kashasema wazi kwamba hawezi kumpigia magoti mwanadamu.
 
Namlaumu mtu ninayemheshimu na kum-admire sana tena sana Hon. Tundu Lissu, Rais wangu 2020 up today!. Alimsapoti Hosea tukalalamika, wakashupaza shingo. Ona sasa li Hosea limekaa kimya as if hakuna mtu anayeonewa wazi wazi na mahakama na serikali and to say it live the President/The executve!

Wake up TLS, Wake Up Hosea! Erythrocyte take note, please!
Sidhani kama walimsapoti Hosea kwa sababu wanamkubali ila walifanya vile ili kumzuia waliemini ni mbaya zaidi kushinda.

Amandla...
 
Hapa kinachoonekana kuna haki na haki ipi ni muhimu zaidi ya nyingine, kwa mfano Mbowe na wenzake kuwa huru wakaungane na familia zao ni haki yao, lakini pia, shahidi kwenda kutibiwa ni haki yake na ya haraka zaidi, kwa maana kwamba afya ya mtu haina mbadala.

Tatizo linakuja kama huu mchezo ndio utakuwa ukijirudia kila wakati mahakamani pale ambapo mashahidi wa jamhuri wanapobanwa na mawakili wa utetezi hii haitakuwa haki tena bali ni kuchezea haki ya wengine.

Nasema hivyo nikikumbuka wakili wa jamhuri alipokwenda kuongea na shahidi wao baada ya maswali ya Kibatala kuzidi kuwa ya moto kwao ghafla wakili akamwambia jaji mteja wao hajisikii vizuri, huu ulikuwa ni usanii hapa jaji lazima awe mkali.
Swila kahojiwa na wakili wa serikali mpaka anamaliza hatujasikia kuomba kwenda chooni Ila alipokumbana Na mawakili wa utetezi route za chooni ndio zikaanza mpaka kupelekea kuomba kuharisha kesi
 
Swila kahojiwa na wakili wa serikali mpaka anamaliza hatujasikia kuomba kwenda chooni Ila alipokumbana Na mawakili wa utetezi route za chooni ndio zikaanza mpaka kupelekea kuomba kuharisha kesi
wanajitesa wenyewe dawa yake ni ndogo tu wawe wakweli kwa kutoa majibu yanayotakiwa kwa maswali wanayoulizwa, wakijidai wajuaji kupindisha ukweli ndio wataendelea kuharisha mpaka wakome.
 
Asante ni haki yako kushiriki mjadala, ila ujue hawa 4 kila siku mguu na njia kwenda mahakamani ambako wanashinda kutwa nzima wakiwa wamekaa tuli.
[emoji871]Angalau wao wanashindia nje wakivuta hewa huru,huku wakiimbiwa mapambio.
 
[emoji871]Je!
Unaposema mashahidi wagonjwa 24,umewapima mashahidi hao na kuthibitisha unalolisema?

[emoji871]Hivi TLS haioni watu wengine wanateseka Magerezani,zaidi hata ya huyo Mbowe?

[emoji871]Kwa nini hamuwatetei na watanzania wengine,mmekazania Mbowe peke yake?

[emoji871]Mbowe ni mtanzania kama hao wengine,ingawa yeye anaachwa bila kupigwa pingu ilhali uzito wa tuhuma zinazpwakabili zinalingana.
Waanzishie uzi hao Watanzania wengine wanaoteseka
 
Back
Top Bottom