Wanasheria, TLS na Wanaharakati ingilieni kesi ya Mbowe na wenzake ili haki itendeke

Wanasheria, TLS na Wanaharakati ingilieni kesi ya Mbowe na wenzake ili haki itendeke

TLS ni professional body ya wanasheria sio kituo Cha kutoa msaada wa kisheria kwa maana ya msaada.

Nadhani Kuna vyama vya wanasheria vinavyotoa msaada wa kisheria ikiwemo kuwakilishwa mahakamani Kama LHRC, TAWLA, WILAC nk.

TLS inaweza kutoa tamko tu na sio representation tufike pahala basi tuelewe .

Hata hivyo TLS wanaweza kupinga sheria fulani mahakamani Ila sio kumtetea mtu. Hosea mwenyewe jitu la system pia msitarajie jambo jipya kwamba anaweza hata kujiongeza.

Yani mtu alikuwa boss wa PCCB toka inaanzishwa alikuwa yeye mnatarajia nini? We are middle fingered 🤷
 
[emoji871]Je!
Unaposema mashahidi wagonjwa 24,umewapima mashahidi hao na kuthibitisha unalolisema?

[emoji871]Hivi TLS haioni watu wengine wanateseka Magerezani,zaidi hata ya huyo Mbowe?

[emoji871]Kwa nini hamuwatetei na watanzania wengine,mmekazania Mbowe peke yake?

[emoji871]Mbowe ni mtanzania kama hao wengine,ingawa yeye anaachwa bila kupigwa pingu ilhali uzito wa tuhuma zinazpwakabili zinalingana.
1. Wao wamemtetea Mbowe, wewe watetee hao wengine wanaoteseka magerezani
2. Watetee watanzania wengine achana na Mbowe huyo anatetewa na wengine
 
Mleta mada Tanzania ina msaafu wake wenyewe utakuwa mwansiasa gani ujui dini ya nchi yako, Mbowe yupo sehemu salama kabisa katika muhimili unaojitegemea yaani mahakama sasa unaposema wanaharakati na hao wanasharia sijui wapitie wapi?
Vumilia Mbowe mwenyewe anajua umuhimu wa muhimili huo ndiyo maana unamuona pale mahakamani katulia anaelewa maana ya pilato vumilia.
 
TLS ni professional body ya wanasheria sio kituo Cha kutoa msaada wa kisheria kwa maana ya msaada.

Nadhani Kuna vyama vya wanasheria vinavyotoa msaada wa kisheria ikiwemo kuwakilishwa mahakamani Kama LHRC, TAWLA, WILAC nk.

TLS inaweza kutoa tamko tu na sio representation tufike pahala basi tuelewe .

Hata hivyo TLS wanaweza kupinga sheria fulani mahakamani Ila sio kumtetea mtu. Hosea mwenyewe jitu la system pia msitarajie jambo jipya kwamba anaweza hata kujiongeza.

Yani mtu alikuwa boss wa PCCB toka inaanzishwa alikuwa yeye mnatarajia nini? We are middle fingered 🤷
Ungeuisoma vizuri Post ungeelewa ninachohitaji, hakuna sehemu niliposema TLS itoe msaada wa kisheria.
 
Mleta mada Tanzania ina msaafu wake wenyewe utakuwa mwansiasa gani ujui dini ya nchi yako, Mbowe yupo sehemu salama kabisa katika muhimili unaojitegemea yaani mahakama sasa unaposema wanaharakati na hao wanasharia sijui wapitie wapi?
Vumilia Mbowe mwenyewe anajua umuhimu wa muhimili huo ndiyo maana unamuona pale mahakamani katulia anaelewa maana ya pilato vumilia.
Soma mada uielewe kisha andika, ninachozungumzia ni jinsi kesi inavyokwenda kwa matakwa ya upande wa mashitaka, yaani leo ipo kesho haipo!
 
Mleta mada Tanzania ina msaafu wake wenyewe utakuwa mwansiasa gani ujui dini ya nchi yako, Mbowe yupo sehemu salama kabisa katika muhimili unaojitegemea yaani mahakama sasa unaposema wanaharakati na hao wanasharia sijui wapitie wapi?
Vumilia Mbowe mwenyewe anajua umuhimu wa muhimili huo ndiyo maana unamuona pale mahakamani katulia anaelewa maana ya pilato vumilia.
Kama haujaelewa kilichoandikwa usijibu, liache lipite.
 
Kwani haki haitendeki?

Mbona kila siku mnasema Kibatala kawafunda mashahidi wa serikari?

Kwa hiyo hayao mnayoandika kumbe ni uongo?

Upo sahihi, shida uwezo wako wa kuelewa Na maisha ya kijijini!
 
Mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomhusu mhe. Mbowe na wenzake watatu unatia mashaka, tangu mwanzo wa kesi upande wa mashitaka umekua na visingizio vingi vya ugonjwa vinavyowahusu mashahidi, hawa mashahidi 24 wenye maradhi dhidi ya washitakiwa 4 wenye afya imekua kama mchezo wa kuigiza.

Nia hasa ya upande wa mashitaka kufanya njama hizi inaanza kuonekana kama kuwakomoa washitakiwa ambao hawana haki sawa ya kusikilizwa na mahakama kama waliyonayo upande wa mashitaka, ni wazi washitakiwa wangefanya kama wafanyavyo upande wa mashitaka wangekwisha onywa na mahakama.

Wanasheria, TLS na wanaharakati pazeni sauti zenu mbadili mwenendo huu wa kesi wenye mashaka ili haki itendeke na mawakiri wa utetezi wapunguziwe mateso ya kupoteza muda wa kuwatetea washitakiwa.
Jopo la Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake ni Mawakili na ni Wanachama wa TLS. Unamtaka nani tena aingilie kati?
 
Kwani haki haitendeki?

Mbona kila siku mnasema Kibatala kawafunda mashahidi wa serikari?

Kwa hiyo hayao mnayoandika kumbe ni uongo?
Mwalimu wako alikuwa na kazi sana, kweli ualimu ni wito.
 
Jopo la Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake ni Mawakili na ni Wanachama wa TLS. Unamtaka nani tena aingilie kati?
Unaongelea mawakili gani, mawakili wa upande wa utetezi wanalalamika sana kuhusu hao wasanii wagonjwa, inaelekea haufuatilii mwenendo wa kesi.
 
Back
Top Bottom