kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwahyo ukisoma rucu pale iringa miaka yako mitatu minne ushakuwa mwanasheria msomi, Farao mkubwa faraKwa akili yako jinsi inavyokutuma, kuna ‘mwanasheria’ asiye ‘msomi’? , nauliza tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo ukisoma rucu pale iringa miaka yako mitatu minne ushakuwa mwanasheria msomi, Farao mkubwa faraKwa akili yako jinsi inavyokutuma, kuna ‘mwanasheria’ asiye ‘msomi’? , nauliza tu...
Mkuu matumizi ya neno mwanasheria msomi baina ya wanasheria hayana maana kua kuna wanasheria wasio wasomi. Hii ni namna tu ya kutambua weledi wa mwenzako katika taaluma.Inaonyesha kuwa kwenye fani ya sheria kuna mawakili wasomi na makanjanja?...
Njia gani inatumika kuwabaini hawa... [emoji848]
Rucu iringa;Kwahyo ukisoma rucu pale iringa miaka yako mitatu minne ushakuwa mwanasheria msomi, Farao mkubwa fara
Hivyo sio wanasheria? Au ni wanasheria? Tubakie kwenye kiswahilibush lawyers wamejaa wewe tu akili yako ndogo huwezi kulielewa hili
Kwahiyo hapo RUCU ‘amesoma’, sasa anakuaje sio msomi na amesoma?Kwahyo ukisoma rucu pale iringa miaka yako mitatu minne ushakuwa mwanasheria msomi, Farao mkubwa fara
Kwahiyo kesi hiyo ya utumiaji silaha na zile nyengine hazijajumuishwa hapo?Ana kesi nyingi kwa hiyo wanataka waimalize hii waanze na zingine hapo bado kesi za huko Hai bado zinamsubiri...
Ndiyo hicho anachouliza mtoa uzi.Yaani sasa hivi siyo kama zamani watalam wetu wa sheria (ambao ni waandishi )walikuwa wana-summarise mwenendo wa kesi na kutujulisha.Kesi iko wazi mno na haina complications za kisheria.. Mtuhumiwa no 1 kaanza kujitetea kwa kutaja high profile figures kea majina na vyeo vyao, kimsingi ni kama kawataja kama washirika wake!
Kama mahakama isipopuuza huu utetezi watajwa wataitwa mbele ya mahakama kuthibitisha ama kukanusha kwamba alitumwa na kayafa nao walikuwa na taarifa kamili...tena wafanye hivyo kwa ushahidi kamili hasa kama watakanusha
Wanasheria wapo wengi wamemaliza vyuo Ila sisi huku mtaani tunaona wanasheria wasomi ni wachache.Hao wengine walienda chuo kutafuta vyeti tuuKwa akili yako jinsi inavyokutuma, kuna ‘mwanasheria’ asiye ‘msomi’? , nauliza tu...
CCM mmefikia hatua ya "kuringia" kesi ya kada mwenzenu.Kwa namna kesi ya jambazi sabaya inakoelekea,inafanya kesi ya gaidi mbowe kutosikika kabisa.
Lakini nyumbu waendelee kushangilia jambazi akijitetea maana ndio furaha waliyobaki nayo,huku bibie akendelea kuipiga mbungi ya kujaza nusu uwanja.
Kwahiyo ‘amesoma’ chuo hadi akamaliza, alafu sio ‘msomi’?Wanasheria wapo wengi wamemaliza vyuo Ila sisi huku mtaani tunaona wanasheria wasomi ni wachache.Hao wengine walienda chuo kutafuta vyeti tuu
Jibu konkibush lawyers wamejaa wewe tu akili yako ndogo huwezi kulielewa hili
Ndiyo,hao wapo wengi sana.wana mpaka first class lakini siyo wasomi ila wamededesa hiv,wengine wamepata degree zao kwa kuandikiwa researchs zao,.hao nao utawaita wasomi kweli? hujawahi sikiaga degree za "chupi" wewe.hao nao unawaita wasomi,wamesoma nini.Kwahiyo ‘amesoma’ chuo hadi akamaliza, alafu sio ‘msomi’?
Maana mmesahau ya kwenu kwamba ni kubwa zaidi.CCM mmefikia hatua ya "kuringia" kesi ya kada mwenzenu.