Uchaguzi 2020 Wanasheria, Tusaidieni. Je, kuna uwezekano wa Tundu Lissu kuenguliwa na NEC kugombea Urais kwa kutumia kigezo cha Uadilifu wa Mke wa Kaisari?

"Innocent until proven guilty", hii haijalishi aina ya kesi: hata kama ana ni kesi za jinai.
Hebu jiulize, vipi unapomuengua halafu mahakama ikamuona hana hatia katika kesi zote, Je, utarudia uchaguzi kumrudishia haki yake uliyompoka?
Serikali ya CCM imesheheni WAHUNI na WAHALIFU lukuki, kuanzia JPM hadi wasaidizi wake. Ma Dikteta ni WASHENZI na WENDAWAZIMU hasa wanaposhindwa kwa hoja, tutarajie viroja vingi sana mwaka huu.
 
Serikali ya CCM imesheheni WAHUNI na WAHALIFU lukuki, kuanzia JPM hadi wasaidizi wake. Ma Dikteta ni WASHENZI na WENDAWAZIMU hasa wanaposhindwa kwa hoja, tutarajie viroja vingi sana mwaka huu.
 
Kikwetu mayalla ni njaa
 
Pascal ni mwanasheria kwa kisomo na alichokiandika si cha bahati mbaya, yuko na kundi lake la wanasheria wa CCM. Je, Lissu akienguliwa wafuasi wake wataufyata?
 
Sina uhakika ila nina hisi ni lazima kesi zote zi sikilizwe mahakamani na hukumu itolewe. Kwa sasa hivi hata kama ana kesi ambazo bado zina sikilizwa mahakamani, huyo ni mtu ambaye ana subiria hukumu. Vile vile mahamakama inaweza kutoa adhabu kwasababu ya kesi alizo nazo na kwa kawaida adhabu haimaanishi kwamba lazima atumikie kifungo. Mahakama inaweza ku muamrisha alipe faini na kesi inakuwa imeisha.

Nina kubaliana na wewe unapo sema kwamba mgombea wa urais ana takiwa awe "spotless" lakini siasa zetu hazija fikia hatua hio. Wenzetu walio endelea wana chukulia mambo kama hayo maanani sana na ndio maana kuwa na kesi mahakamani ina punguza kwa kiasi ki kubwa uwezekano wa mtu yeyote kushinda.

Tuli shuhudia uchaguzi ulio pita jinsi gani waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa alivyo weza kushiriki kwenye uchaguzi hata baada ya kuji uzulu kwenye uwaziri mkuu wake baada ya sakata la Richmond.

Nina kubaliana na wewe unaposema kwamba Tundu Lissu pamoja na wana CHADEMA wenzake wame kuwa waki fanya uana harakati mwingi lakini kuwa mpinzani nchini lazima kunaji husisha na kui kosoa serikali. Kwa vyovyote vile lazima uana harakati flani uwepo. Sema tu wana kosea sana jinsi wanavyo amua ku wasilisha hoja zao. Hata kama ame tukana watu au kui sema vibaya Tanzania kwenye vyombo vya habari vya nje, sidhani kama hilo ni jambo la NEC ku amua. Hilo ni jambo la wa Tanzania ku amua.

Vile vile tunaweza kuji funza kitu flani kwa ma shemeji zetu wa Kenya ambao wali mruhusu Uhuru Kenyatta kuwa rais kipindi alipokuwa na kesi ICC. Alipo kuwa ana gombea muhula wake wa pili bado kesi ilikuwa ina sikilizwa na bado alishinda uchaguzi.

Ili kupata mwanga zaidi kuhusu hili, ingekuwa vizuri kama unge orodhesha kinacho hitajika kwa mtu yeyote ku gombea urais kwa mujibu wa katiba.
 
Pascall siwez kukubishia katu, lolote laweza kutokea, kama huyu Lisu aliwai kueleza waziwazi kuwa anafuatiliwa na gari namba fulani na akasema kuna watu wametumwa ili wamdhuru wengi tuliipuza hiyo kauli kama kauli ya kisiasa na uongo ila baada ya siku Tundu Lisu akashambuliwa hadaharani na serikali ma watanzania tukashuhudia. Mbali na yote hayo serikali haikuishia hapo walaenda mbali wakamvua ubunge kwa sheria zao, leo hii NEC inaweza kuamua ikafanya hivyo na ikafanikiwa. Lakini hata kama Lisu atakuwa na makosa hakuna mtanzania ataamini ya kwamba kaenguliwa kisa kakosa sifa bali itaeleweka kuwa ni figisu za serikali ktk kuogopa ushindani. KAMA WATANZANIA WATATAKA HAKI, UCHAGUZI WA 2020 UNAWEZA UKALETA MAAFA HAPA TANZANIA. MUNGU ATUSAIDIE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…