Uchaguzi 2020 Wanasheria, Tusaidieni. Je, kuna uwezekano wa Tundu Lissu kuenguliwa na NEC kugombea Urais kwa kutumia kigezo cha Uadilifu wa Mke wa Kaisari?

Hili jamaa linacheza na upepo,linajua kwa vyovyote kura zitaibwa na CCM kubaki madarakani,na huenda kukawa na rais kufumua baadhi ya idara na taasisi za serikali na teuzi mpya kuwepo,so linawinda kauteuzi.
 
"Innocent until proven guilty", hii haijalishi aina ya kesi: hata kama ana ni kesi za jinai.
Hebu jiulize, vipi unapomuengua halafu mahakama ikamuona hana hatia katika kesi zote, Je, utarudia uchaguzi kumrudishia haki yake uliyompoka?
 
nimemsoma nimeshindwa kumuelewa
 
Mkuu Magu kawanyanganya wanaccm wengi akili na wale wachache wenye akili wameamua kukaa kimya kuogopa visasi vya Magu.Waliobaki wamebaki wakisifu na kuabudu hata ujinga unaofanya na yesu wao
 
Huwa sichukulii poa hata mara moja hoja za Paschal Mayalla. Huenda ikawa kweli Mayalla anatuandaa kisaikolojia
 
Na kwa Ccm walivyo,ni bayana kabisa baadhi ya vyama wameweka wagombea kiti cha urais kwa msaada wa CCM.wengi wanetumwa na CCM ili kuzigawanya zaidi kura za uraisi.sababu wana kumbukumbu ya Ile hatari na balaa la UKAWA 2015.Watu km Membe,Lipumba na wengine wengi ni mapandikizi tu.wagombea halisi na washindani halisi Ni Mh.Magufuli na Mh.Tundu Antipas Mughwai Lissu pekee.
 
Nimepoteza muda wangu bure kusoma huu UHARO japo simfagilii Lissu hoja zako zimejaa unafiki na kujipendekeza.
 
Kacheti ketu kale P ka UD hakawez kukupa majibu?
Maelezo ya Lissu pia hayawezi?

Maelezo ya wakili Mwanajf aliyeeleza humu hivi Karibun nayo hayafui dafu?

Au ulitaka kumbagaza kwa bandiko hili?


Hongera kwa ukada wa Abbas kwa ccm na hbari maelezo


Ukipinga hili tuletee bandiko la kuililia habari maelezo
 
THE MOST DANGEROUS POST AT THE MOST SENSITIVE TIME. Imagine haya unayoyataka ambayo yanaonekana yako planned kwani wewe pia ni mwanasheria, muonekano wako kwa upande hasi kwako utakuwaje, binafsi umejipangaje. Inawezekana wakati unaandika POST hii wewe uliishia kwa Lissu ukasahau kuwa anakundi kubwa zaidi ambalo limewekeza kwake na huenda liko tayari kwa lolote, kumbuka siku zote shabiki hasikii lolote kuhusu kipenzi chake.
 
LISU MTEULE??
Sikusema Lisu ni mteule, lakini sikatai Kuwa anaweza Kuwa mteule. Harald wewe unaweza Kuwa mteule. Ni Siri kubwa aijuaye ni Mungu tu. Usitumie nguvu Sana kumzimisha mtu, usijejikuta unapambana na Mungu. Achilia mambo yaende kiasili na sanasana omba Mungu wako audhihirishe ukweli. Usijisumbue Sana kuzuia mafuriko ya mto kwa kiganja chako Cha mkono.
 

Hapo amatoa na hukumu kabisa!na kama suala lipo mahakamani unalisemea la Nini sasa unataka kuifundisha kazi tume maana unatoa maelekezo ya Nini tume ikifamye juu ya Tundu Lisu!Paskali ni I bwana!
 
Paskali hujambo? Hebu jaribu kutumia japo akili ya kawaida tu, mwenye jukumu la kudhibitisha JINAI ni chombo gani? Kwanini unaleta MAHABA yako kwa JPM na CCM kwa kuanza kuongolea mambo ambayo bado hayajathibitishwa kisheria na chombo husika? Hakika WAJUMBE wa huko kawe waliona mbali sana, kama ungebahatika kwenda Bungeni bila shaka ungesumbua sana kwa hoja za kipuuzi kama akina Kibajaji, Msukuma, Nkamia na wapuuzi wenzio wengine wenye mawazo na akili za namna hii. CCM must go.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…