Huwezi kumchafua mchafu.Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Utii bila shurti ni muhimu sanaImekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Yaani hao unawaambia wanakuona zwazwa 😄😄😄😄Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Kwa maana ile ile ya kuwanyamazisha bila kujali uhuru wa maoni,ila pia ni pale mkiwa angalao na aliyemwadilifu na aendeshe kesi yenyewe kwa uadilifu .Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Chizi sio mpaka aokote makopo. Badala uwe chawa mwenye akili unakuwa kupe mng'ang'anizi , wewe sio mwana ccm mwenzangu ningekujibu ila ni mwanafisiemuImekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Mimi ndiyo ninavyo lia,ndivyo ninavyooandikia,hapo vipi sema na lingine.leo mchana ule kwa kutumia vidole vya miguu kwani vyote ni mwili wako
Kama wewe unaweza kuwaleleka mahakamani bila ushahidi fanya hivyo, polisi wanakamata kwa kutumwa ila wanakwama kwenye kufungua kosa, inabidi wawaachie.Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
leo mchana ule kwa kutumia vidole vya miguu kwani vyote ni mwili wako
Tuanze na Rostam Azizi, baada ya hapo tufuatilie ya maagizo kutoka juu, hapo juu ni wapi na kuna nani na ana wadhifa gani kwenye chama cha CCM. Tukigundua hili nafikiri tutakuwa tumetibu ugonjwa huu wa kamata kamata ya viongozi na wanachama wa upinzaniImekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Kama ni hivyo basi mbona itakuwa rahisi kabisa; wewe haribu haiba yao, wakupeleke mahakamani kwenye hizo unazosema ni mahakama fata maagizo halafu uone kama utaponaTuanze na Rostam Azizi, baada ya hapo tufuatilie ya maagizo kutoka juu, hapo juu ni wapi na kuna nani na ana wadhifa gani kwenye chama cha CCM. Tukigundua hili nafikiri tutakuwa tumetibu ugonjwa huu wa kamata kamata ya viongozi na wanachama wa upinzani
chama chenu mmekichafua ninyi wenyewe, na kimechafuka kwelikweli na hakitakuja kusafishikwa kwa chochote. ni cha kutupa tu kwenye jalala.Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria