KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Free speech is absolute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupeleka kesi mahakamani siyo lazima wawe wanasheria wa CCM peke yao. Wewe kama mwananchi na umekereka, chukua hatua. Zaidi ya hapo ni uchawa na umekosa cha kuandika.Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Hebu nitajie mwanasheria wa ccm maana zijawahi wasikiaImekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Ukin'gatwa na mbwa unamshitaki mbwa au mwenye mbwa?Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Police ni ccm,Mama ni ccm na ndiye Rais na Amir Jeshi Mkuu,ulitaka wasemeje?Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe maneno na madai yao ili waone kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria
Kwani hapo unaiambia mahakama au wana CCM? Mbona huelewi hata ulichokiandika mwenyewe?Mkuu mahakama siyo mama yako- inaweza kutoa maamuzi ukabaki unashangaa