Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,127
- Thread starter
-
- #41
Chadema wana wanasheria makini kama Tundu lissu,Marando,prof.safari,kibatara,kichere,kimomogoro nk. Walioishinda serikali dhidi ya kesi za uchochezi,uchaguzi,ugaidi nk. Mawakili hawa wamewatetea kwa weledi makada na viongozi wao dhidi kesi hizo nyingi zikiwa za kubabikizwa.
Swali: je, mawakili hawa kwa nini wasijitoe mstari wa mbele kuutetea umma dhidi ya kesi kama UDA,mabilioni uswis nk? Kwa nini wanashindwa kutumia taaluma zao kuutetea umma ili tuwakabidhi kweli nchi kama wakombozi wa taifa?
Naomba majibu from material subject above na sio majibu ya kikadakada kwani hata mimi kama mpenda mabadiliko my right to ask questions is reserved.
Kaka hapo umechemsha, hakuna majibu ya maana utakayoyapata hapa, kwa ufupi hao wote ni Mapene Oriented hakuna cha Umma wala jamii.
Ngoja waje akina Ben Saanane na wenzake uone ujingaujinga na majibu yao.
Utaishia kuambiwa M4C no apologize, Tunafungua kanda na njiwa walarushwa,Kata nne za arusha, Makamanda na Red brigade. hayo ndio majibu. Take from me and watch out down here.
the banker ameanzisha uzi akihitaji mawakili wa chdm waende mbali zaidi kwa kushughulikia mambo ya kitaifa. kuna mambo mengi ya kitaifa yanahitaji nguvu za wanasheria shupavu. kosa la banker ni lipi!? nashangaa kuona akina ben saanane wanajibu kwa matusi, dhihaka na majigambo! vijana tunaelekea wapi? kwa nini siasa zetu hazina ustaarabu? kutofautiana vyama kwa nin kunatufanya kujadili mambo ya kitaifa yanayo tuunganisha? shame on u guys! ben nimekushauri sana na sintochoka kufanya hivyo. punguza jazba braza! tafadhali punguza jazba ktk mijadala yako. ukifanya hivyo utafika mbali. ni ushauri tu
Dada samahani sana kwa kukuita kada kama sio kada, kama ningekuwa na contact za hao makada nisingekupa kabisa. It is not my business to connect makada wa this CCM at all. Pia mimi sio CDM bali nakubaliana nao kwa mambo mengi ya msingi, lakini sifikirii kujiunga na Chama chochote zaidi ya That CCM. Sera zangu ni mgombea binafsi na Tanganyika. Kuhusu Kagame, msimamo wangu upo palepale ni mchapakazi anayeibadilisha Rwanda kwa kasi ya ajabu. I don't care kama watu walinisaga au walinisifia, it is what it is. Siipendi this CCM and siamini kabisaa viongozi wa serikali ya this CCM, therefore; I will not buy their story about Kagame.kaka mimi sio kada,hata hao akina ritz,nape nk hawanijui labda uniunganishe nao kama mnawasiliana.
Yes, you're very wrong because you are every where, its hard to find your arguments/points. Mama unaweza kuandika kwa Kiswahili tukakuelewa au English, lakini sio huu mkorogoKaka unafahamu kuwa concept ya doctrine of privity is not absolute?hasa kwenye principal and agent matters,sisi wananchi(including hawa wanasheria ninaowasema) ni third party but principal,na DPP ni agent but second party.sasa hatuwezi kuirob kesi kutoka jinai kuwa madai na kuisue serikari?hata procedure za kimahakama zitabadika.au niko wrong?
well quoted mkuu,sasa hatuna altenative?hali hii mpaka lini?
Hata polisi wanaisupport CDM
Bavicha kwa ndoto za ajabu! teh teh teh,huo ujinga kakueleza nani kuwa CCM itatoka madarakani?
Chadema wana wanasheria makini kama Tundu lissu,Marando,prof.safari,kibatara,kichere,kimomogoro nk. Walioishinda serikali dhidi ya kesi za uchochezi,uchaguzi,ugaidi nk. Mawakili hawa wamewatetea kwa weledi makada na viongozi wao dhidi kesi hizo nyingi zikiwa za kubabikizwa.
Swali: je, mawakili hawa kwa nini wasijitoe mstari wa mbele kuutetea umma dhidi ya kesi kama UDA,mabilioni uswis nk? Kwa nini wanashindwa kutumia taaluma zao kuutetea umma ili tuwakabidhi kweli nchi kama wakombozi wa taifa?
Naomba majibu from material subject above na sio majibu ya kikadakada kwani hata mimi kama mpenda mabadiliko my right to ask questions is reserved.
Yes, you're very wrong because you are every where, its hard to find your arguments/points. Mama unaweza kuandika kwa Kiswahili tukakuelewa au English, lakini sio huu mkorogo
How long it will take for you to underline my mistakes? I like a constructive criticism and Thank you if you'll help me outuwezo wako wa kufikiri ni mkubwa kuliko unachoandika.soma vizuri.