Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,127
- Thread starter
- #41
Kaka unafahamu kuwa concept ya doctrine of privity is not absolute?hasa kwenye principal and agent matters,sisi wananchi(including hawa wanasheria ninaowasema) ni third party but principal,na DPP ni agent but second party.sasa hatuwezi kuirob kesi kutoka jinai kuwa madai na kuisue serikari?hata procedure za kimahakama zitabadika.au niko wrong?