MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 572
Nina mashaka na weledi wenu kama wanasheria. Kwanza, "mida" ndio nini?; Pili hakutamka jina la mtu yeyote. Utaihakikishiaje mahakama kuwa alilengwa Judith! Simtetei gadner na ninamlaani kwa matamshi yake, lakini mbele ya sheria atawashinda
Sasa wamesha anza kuonyesha uhalisia wa nini kimo ndani yao.
AMA KWELI ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKEYaani hapo hamna kesi kabisa. Hakuna sehemu yoyote kwenye ile kauli Gadna alitaja jina la mtu. Alitumia neno " yule mtoto wa kike". Sasa Jay dee ni mtoto jamani? Gadna komaa kakangu usiombe msamaha wala nini. Tena kama vipi wafungulie kesi kwa kosa la kukuandikia barua kwenye karatasi isiyo na mistari.
Kweli alimdhalilisha sana; siyo Jide tu hata wanawake wote ametuvua nguo hadharani.
Gadna sijui ana akili za wapi?
Mwanaume uliyepitia jando hutakiwi kusema mambo ya chumbani;
ni dadako wewe ungefanyaje?Kwa hulka yake ni ngumu
Bora wewe umesema ukweli,hili swala sio jepesi Kama captain anavyo fikiria,akileta u born town kwa hili Litamcost.Nadhani twatakiwa tuijue sheria na mazingira ambayo yaweza kukutia hatiani,trust me wakiamua kumfungulia shitaka litamgharimu kuliko unavyodhani na walioandaa lile tamasha wasipoliweka sawa mapema hawa mabwana wakaamua kulipeleka mbele,tutakuja zungumza habari zingine humu, maana hiyo kwao ni first move,wanasubiri wajibiwe kisheria.Tatizo hatutaki angalia huyo mtoto wa kike amezungumzwa badala ya nini kutokea,sheria sio mpo kijiweni kwamba mtaangalia nini kimesemwa siku husika,bali hufatilia hata matukio kadhaa yaliyopelekea jambo kutokea hata kama ni kwa miaka kadhaa nyuma,tuwe watulivu kutazama hii sinema itaishia wapi,ila amini wakiamua kutaka sifa, kaka yetu ataumia zaidi na atajiondolea sifa zote alizonazo na ni ngumu sana kushindana na Mwanamke hasa akiwa na nguvu katika jamii yake.
mali ya kiuno mkuuNje ya mada Sorry hicho kiuno ni na hizo pistol ni mali zako???
hat wew ukijidai Unakimbele front nakunyoosha tu mkuu kwani sh ngapiutanyoosha wangapi?
Nani kakudanganya wanaume ni wepesi kiasi hicho?
Ni kweli kabisa,ingekuwa ni vema sanaa na heshima kubwa kwako kama angekaa kimya,jamii ilishasimama upande wake kwa kiasi kikubwa juu ya tukio hill la Mr. G.Lady JD angeachana na hii kitu na angekaa kimya bila kumjibu.
Hahaaaaaa umetisha duuuu!!Yaani hapo hamna kesi kabisa. Hakuna sehemu yoyote kwenye ile kauli Gadna alitaja jina la mtu. Alitumia neno " yule mtoto wa kike". Sasa Jay dee ni mtoto jamani? Gadna komaa kakangu usiombe msamaha wala nini. Tena kama vipi wafungulie kesi kwa kosa la kukuandikia barua kwenye karatasi isiyo na mistari.
Mbele ya sheria hakuna "kudhani" ni fact tu,hakuna kesi hapo.Mtoto wa kike anaweza kuwa yoyote, na aliyefanya hayo kwa miaka 15 unaweza kupata jawabu alikuwa anamsema nani.
The smell of fear!Nadhani twatakiwa tuijue sheria na mazingira ambayo yaweza kukutia hatiani,trust me wakiamua kumfungulia shitaka litamgharimu kuliko unavyodhani na walioandaa lile tamasha wasipoliweka sawa mapema hawa mabwana wakaamua kulipeleka mbele,tutakuja zungumza habari zingine humu, maana hiyo kwao ni first move,wanasubiri wajibiwe kisheria.Tatizo hatutaki angalia huyo mtoto wa kike amezungumzwa badala ya nini kutokea,sheria sio mpo kijiweni kwamba mtaangalia nini kimesemwa siku husika,bali hufatilia hata matukio kadhaa yaliyopelekea jambo kutokea hata kama ni kwa miaka kadhaa nyuma,tuwe watulivu kutazama hii sinema itaishia wapi,ila amini wakiamua kutaka sifa, kaka yetu ataumia zaidi na atajiondolea sifa zote alizonazo na ni ngumu sana kushindana na Mwanamke hasa akiwa na nguvu katika jamii yake.
Kwani nawe ni wakiliHamna kesi hapo. Wakili hawezi kukataa hela iliyojileta!