smileagain
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 585
- 630
Kifungu cha sheria gani kinasema karatasi lazma iwe na mistari?Yaani hapo hamna kesi kabisa. Hakuna sehemu yoyote kwenye ile kauli Gadna alitaja jina la mtu. Alitumia neno " yule mtoto wa kike". Sasa Jay dee ni mtoto jamani? Gadna komaa kakangu usiombe msamaha wala nini. Tena kama vipi wafungulie kesi kwa kosa la kukuandikia barua kwenye karatasi isiyo na mistari.
Labda hujaisoma yote mkuu, ni ndani ya siku7 baada ya kupokea taarifa hiyo.Huyu dada anawaimba wenzie akisifiwa anaona raha, wakimjibu anaanzisha nongwa... hatari sana.
Ila kama nakumbuka vizuri kwenye ile clip jamaa alikuwa anajibu swali ambalo jide alitajwa, labda cyber law ya sikuizi itasaidia. Plus kwenye barua haionekani huo msamaha unatakiwa uombwe ndani ya muda gani.
Wanawake hawana hiyo ya kukaa kimya mkuu.Lady JD angeachana na hii kitu na angekaa kimya bila kumjibu.
Labda hujaisoma yote mkuu, ni ndani ya siku7 baada ya kupokea taarifa hiyo.
Mkuu kudhalilishwa mbele ya hadhira kubwa sio jambo la kushabikia au kulipuuzia.Mwache dada jay dee aombwe msamaha tena hadharani kama alivyomdhalilisha hadharani.Tukipuuzia kila jambo mwishowe watu watawindana na kusababisha maafa.Kheri jay dee amekuwa muungwana sana.Mambo mengine michosho na vichekesho tupu
Hilo ni tego la kisheria..hapo kwamba Gadna asipoomba msamaha basi ajiandae kupandishwa mahakamani, na fine atayopigwa hatoweza ilipa.She tried to,ila fans wake ndo wamezidi kuchochea...G aombe tu msamaha yaishe maisha yaendelee [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hajamjibu kihuni kama alivyofanya gadner.jay dee ametumia busara sana.Lady JD angeachana na hii kitu na angekaa kimya bila kumjibu.
Nimependa hiiGadner kama unatusoma au kuna watu watasoma humu mna mawasiliano wakuambie uachana kabisa na huu upuuzi wa jidy, she wont stop until you are finished. Kama angekuwa mungu its obvious angekunyima breath! anachotaka hapo mshindane kutoa pesa kwa mawakili bila shaka akutoe kabisa kwenye reli yako! believe or not its a game with a full budget. inavyoonyesha alikuacha kwa media huko rohoni ana hali mbaya bado anakutaka, anajidai ana furaha ambayo hana. wanaojiita mashabiki wake wako very narrow minded, wanataka wewe tu uwe gunia la mchanga la mazoezi ya ngumi.
siku zote anaamini pesa ina value kuliko utu wa mtu, kwani kuzaliwa mwanaume ni dhambi kutokuwa na hela kama mwanamke! kwani kuna wanawake wangapi wanafadhili game na waume zao lakini utadhani mfadhili ni mwanaume anavyoheshimiwa! man will always be a man. kama kuna wa kumuomba msamaha gadner ni muumba wako sio hiki kibibi kinachotaka ukipigie magoti after everything ili kikutungie nyimbo tena ukiwa umepiga magoti, hahaha. akuache ufanye yako bana, kina roho mbaya kama sura yake, alaaa. kama vipi toa namba au account tupitishe donei uweke mawakili wakukutetea huko mahakamani. mbele kwa mbele
Ze ndii ndii ndii [emoji1] [emoji1] akiomba radhi ita undo kitendo cha kukojozwa kwa 15yrs!! Mambo mengine bana [emoji16] [emoji16] [emoji16]Mambo mengine michosho na vichekesho tupu
Una uhakika gani kwamba kwa miaka hyo yoote 15 alikua na jide tu, pia neno kumkojoza unalielewaje kwa mfano unavyompeleka mtoto chooni akakojoe unaenda kumfanya nini? Hii kesi naona wanataka kumpa ti ulaji gadnaMtoto wa kike anaweza kuwa yoyote, na aliyefanya hayo kwa miaka 15 unaweza kupata jawabu alikuwa anamsema nani.
Kesi zingine zinasikitisha sana. Je wakati Gadna anatamka kumkojoza jina la Jide lilitamkwa? Au bado wanaoneana wivu?Una uhakika gani kwamba kwa miaka hyo yoote 15 alikua na jide tu, pia neno kumkojoza unalielewaje kwa mfano unavyompeleka mtoto chooni akakojoe unaenda kumfanya nini? Hii kesi naona wanataka kumpa ti ulaji gadna
Unamlisha weweSawa Jay Dee, aombe tu radhi yaishe maana ukitaka akulipe kwa kukuzalilisha atakulipa nini ilihali hapo alipo pangupakavu?
Kama anamsema hawara wake aliyemkojoza kwa miaka 15 utajuaje?Mtoto wa kike anaweza kuwa yoyote, na aliyefanya hayo kwa miaka 15 unaweza kupata jawabu alikuwa anamsema nani.