Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunayataka maelezo hayo
Sikubaliani na maelezo yako kwani if he had lost authority he would not have easy access to Ikulu, which he openly enjoys and he would have been locked up by now!RA has lost Authority no doubt!!! ukiwa na hela bila authority matokeo ndio hayo Muulize Idd Simba he knows well nini maana ya kuwa na hela ukakosa authority ...
RA's days are numbered!
wataka maelezo zaidi?
Sikubaliani na maelezo yako kwani if he had lost authority he would not have easy access to Ikulu, which he openly enjoys and he would have been locked up by now!
Maelezo: Hawana shughuli zamani si walikuwa wamekaa wanatuibia muda wa kuongea na waandishi wangepata wapi? deal za wizi hakuna nowadays JK anakaba hadi penati wanatapa tapa!
Naomba kuiwakilisha JF ili niweze kuwapa LIVE .Niko njiani naenda town sasa nipeni mikoba .Nitasimama pale Haider Plaza kujua ukweli wa hizi nyeti.
Wacha waumbuane tu mpaka kieleweke. Ila Mengi mbona ameharakisha sana? Atulie na kuweka facts zake vizuri kabla ya kuzimwaga kwa wananchi. Ukiwa na hasira kali huwezi kuweka mambo vizuri.
Mtanzania,
Unajua inafikia wakti nahisi kutokwa machozi kwa namna mambo yanavyoenda ndivyo sivyo!
Unajua iko hivi: Mengi anashauriwa na wana JF wenzetu na hata Rostam alichokiongea jana kaandikiwa na mwana JF mwenzetu. Tunaelekea wapi?
Pls mnaowashauri hivi, jaribu kuwaonea huruma, mnawachanganya kabisa, wanavyofanya sivyo (labda kama mmedhamiria kuwamaliza kabisa!)
Mtanzania,
Unajua inafikia wakti nahisi kutokwa machozi kwa namna mambo yanavyoenda ndivyo sivyo!
Unajua iko hivi: Mengi anashauriwa na wana JF wenzetu na hata Rostam alichokiongea jana kaandikiwa na mwana JF mwenzetu. Tunaelekea wapi?
Pls mnaowashauri hivi, jaribu kuwaonea huruma, mnawachanganya kabisa, wanavyofanya sivyo (labda kama mmedhamiria kuwamaliza kabisa!)
usichoke Invisible,chonde chonde andaa mic kama jana.Huh?
Tired!
🙁
Huna haja ya kutokwa na machozi, JF ina watu kibao, haiwezekani wote tukawa na nia, malengo, mtazamo mmoja. JF ni kama mkono, vidole havilingani. Waache wapambane, ndio wanatoleana siri zao jinsi wanavyohujumu taifa, nasi wananchi tunafaidika kwa mpambano huo kwa njia moja ama nyingine kwa ambayo tusiyoyajua.
Wadau taarifa nilizozipata sasa hivi ni kuwa Mengi tayari anamwaga razi,naambiwa ana documents zote za Kagoda!
Well said.Hapa kweli mkuu maana jamaa maelezo aliyo kuwa akiyasoma jana mengine yalikuwa yamelala kiJF nikawa najiuliza RA ni member humu...duh kuna watu huu ugomvi kwao ni dili watajenga vibanda vyao au kumalizia kabisa huko Goba.