Wanasiasa kuweni wakweli katika hili la mfumuko wa bei

Wanasiasa kuweni wakweli katika hili la mfumuko wa bei

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Kama siyo kuchekesha basi mnasikitisha, kama wote mnalalamika nani ana wajibu wa kutatua?

Wapinzani wanalalamikia kupanda kwa gharama za Maisha watawala wanalalamikia hilo hilo nani ana wajibu wa kulitatua?

Nawaelewa wapinzani juu ya hilo Ila siwaelewi wabunge Wa CCM juu ya hilo.

Nilipata bahati ya kuwasikiliza wabunge Wa CCM Josephat Gwajima na Musukuma katika viwanja vya Furahisha hotuba zao zote zilihusu gharama za Maisha.

Nilidhani kwa kuwa ni chama tawala watakuja na majibu matokeo yake nao wanalalamika kama wapinzani.

Hata wanatuuliza mchele unaolimwa Mwanza una uhusiano gani na vita vya Ukraine.

Hivi kama nyie mnao kaa bungeni. Mlio kwenye kamati za Bunge mnaotunga sheria. Mnaokaa na wabunge vyombo vyote na mamlaka zote ni zenu mnalalamika nani ana majibu?
 
Nani na wapi wamelalamika? Umefuatilia Bunge majibu ya serikali? Tanzania hakuna mfumuko wa bei ndio maana unaona maeneo na maeneo bei ziko tofauti.

Mwisho inflation rate ni tofauti na price fluctuations so msiongee vitu msivyovijua.
 
Nani na wapi wamelalamika? Umefuatilia Bunge majibu ya serikali? Tanzania hakuna mfumuko wa bei ndio maana unaona maeneo na maeneo bei ziko tofauti..

Mwisho inflation rate ni tofauti na price fluctuations so msiongee vitu msivyovijua
Fatilia hotuba ya musukuma na Gwajima Mwanza utajua ninacho kisema Mimi siyo mbabaishaji
 
Fatilia hotuba ya musukuma na Gwajima Mwanza utajua ninacho kisema Mimi siyo mbabaishaji
Narudia tena Tanzania hakuna mfumuko wa bei na wewe hapo huelewi hata maana ya inflation rate.

Price fluctuations at localite sio mfumuko wa bei ndio maana hizo bei za kina Musukuma na Gwajima haziko sehemu kubwa ya Nchi ,ziko baadhi ya maeneo so hiyo sio mfumuko wa bei, soko tuu Lita offset.
 
FB_IMG_16750711128323613.jpg
 
CCM IMEHARIBU TAIFA.

WAO WANATAKA KODI YA MA V8. WANANUKA RUSHWA. UFISADI WA KUTISHA. UJANGILI. WIZI. MATUMIZI MABAYA YA RASLIMALI.

CCM ONDOKENI MADARAKANI MMEUA TAIFA.
 
Tufafanulie Hiyo tofauti ili tujue tumekumbwa na nini!

Nimekaa palee
Endelea kukaa hapo hapo..
Price fluctuations ni functions ya production costs na transport costs na ni subject to changes mara Kwa mara kushuka na kupungua,na hii inaweza kuwa tofauti Kati ya eneo Moja na jingine kama ilivyo huko Mwanza wakati kitu hicho hicho ni bei ya chini sehemu kubwa ya Nchi.(local) na hapa ieleweke ni kwenye specif items tuu.

Inflation rate ni general price rate kwenye busket ambayo Iko computed Kwa kuchukua hizo average ya Kasi ya mabadiliko ya bei ya Bidhaa zilizochagukiwa na ambazo ni mainly consumed across the country ambazo hubeba weights tofauti..

So hata kama huko Mwanza kwenye specific items Zina bei kubwa ila ni local Wala hazina effects yeyote kwenye kubwa inflation rate.
 
Endelea kukaa hapo hapo..
Price fluctuations ni functions ya production costs na transport costs na ni subject to changes mara Kwa mara kushuka na kupungua,na hii inaweza kuwa tofauti Kati ya eneo Moja na jingine kama ilivyo huko Mwanza wakati kitu hicho hicho ni bei ya chini sehemu kubwa ya Nchi.(local) na hapa ieleweke ni kwenye specif items tuu.

Inflation rate ni general price rate kwenye busket ambayo Iko computed Kwa kuchukua hizo average ya Kasi ya mabadiliko ya bei ya Bidhaa zilizochagukiwa na ambazo ni mainly consumed across the country ambazo hubeba weights tofauti..

So hata kama huko Mwanza kwenye specific items Zina bei kubwa ila ni local Wala hazina effects yeyote kwenye kubwa inflation rate.
Kwahiyo price fluctuations imeanza leo Kiasi kwamba hawa Wabunge na Wananchi hawajawahi kuiexperience before?

Inflation husababishwa na nini?

Samahani lakini Mwalimu
 
Kwahiyo price fluctuations imeanza leo Kiasi kwamba hawa Wabunge na Wananchi hawajawahi kuiexperience before?

Inflation husababishwa na nini?

Samahani lakini Mwalimu
Wapi nimesema imeanza Leo? Kwani vita na covid walie experience before?

Tuko clear ,mazao yaliyozalishwa Kwa gharama kubwa yatauzwa hivyo hivyo,price ni functions ya production and transport costs.

Mwisho kama kulima ni rahisi Kalime Wewe,simple as that
 
Wapi nimesema imeanza Leo? Kwani vita na covid walie experience before?

Tuko clear ,mazao yaliyozalishwa Kwa gharama kubwa yatauzwa hivyo hivyo,price ni functions ya production and transport costs.

Mwisho kama kulima ni rahisi Kalime Wewe,simple as that
Mwalimu punguza makasiriko

Inflation husababishwa na nini?

cc: Dr Mwigullu Nchemba, Prof Lipumba
 
Narudia tena Tanzania hakuna mfumuko wa bei na wewe hapo huelewi hata maana ya inflation rate.

Price fluctuations at localite sio mfumuko wa bei ndio maana hizo bei za kina Musukuma na Gwajima haziko sehemu kubwa ya Nchi ,ziko baadhi ya maeneo so hiyo sio mfumuko wa bei, soko tuu Lita offset.

mkoa gani una bei rahisi ya vyakula tununue sukari kilo 1500 tz sh wapi ?kenge wewe, watu wote mikoa yote wanalalamika wewe unatetea na kizungu chako cha ulaya
 
mkoa gani una bei rahisi ya vyakula tununue sukari kilo 1500 tz sh wapi ?kenge wewe, watu wote mikoa yote wanalalamika wewe unatetea na kizungu chako cha ulaya
Tumetajia mara nyingi humu,wakati Mwanza mchele ni 3800 kuanzia Kigoma Hadi ntwara bei ni 2600-3000 ,Dodoma hivyo hivyo nk nk
 
Narudia tena Tanzania hakuna mfumuko wa bei na wewe hapo huelewi hata maana ya inflation rate.

Price fluctuations at localite sio mfumuko wa bei ndio maana hizo bei za kina Musukuma na Gwajima haziko sehemu kubwa ya Nchi ,ziko baadhi ya maeneo so hiyo sio mfumuko wa bei, soko tuu Lita offset.
Wewe ni kupe,mikoa tote Hali mbaya we unatetea ujinga
 
Miaka yote tunalima
Wapi nimesema imeanza Leo? Kwani vita na covid walie experience before?

Tuko clear ,mazao yaliyozalishwa Kwa gharama kubwa yatauzwa hivyo hivyo,price ni functions ya production and transport costs.

Mwisho kama kulima ni rahisi Kalime Wewe,simple as that
Miaka yote tunalima lakini Michele elfu tatu Mia tano hatujawai siyo kuona hata kusikia. Chakula kimekua adimu kwasababu ya kuruhusu nchi zanje wanunue mazao mpaka shambani. Vijijini kote kumejaa marol ya Rwanda Uganda Kenya Malawi mpaka ya Zambia.wananunua mpaka shambani.chakula kitakosaje kupanda
 
Miaka yote tunalima

Miaka yote tunalima lakini Michele elfu tatu Mia tano hatujawai siyo kuona hata kusikia. Chakula kimekua adimu kwasababu ya kuruhusu nchi zanje wanunue mazao mpaka shambani. Vijijini kote kumejaa marol ya Rwanda Uganda Kenya Malawi mpaka ya Zambia.wananunua mpaka shambani.chakula kitakosaje kupanda
Sasa sio kazi ya serikali kuwafanya wakulima wawe maskini miaka na miaka Ili wewe wa mjini ununue buku jero.
 
Back
Top Bottom