Wanasiasa kuweni wakweli katika hili la mfumuko wa bei

Wanasiasa kuweni wakweli katika hili la mfumuko wa bei

Sasa sio kazi ya serikali kuwafanya wakulima wawe maskini miaka na miaka Ili wewe wa mjini ununue buku jero.
Kwanza fulctuation ni kubadilika badilika kwa bei na wala si kupanda kwa bei. watu wanazungumzia mfumko wa bei ambao kwa kiingereza ni "Inflation rate".

kubadilika badilika kwa bei ndiyo husababishwa na vitu kama kupungua kwa bidhaa na kuongezeka kwa bidhaa hizo hizo katika muda mfupi ama kuongezeka kwa mahitaji na kupungua kwa mahitaji katika muda mfupi. Lakini mfumko wa wa bei husababishwa zaidi na upungufu wa muda mrefu wa bidhaa bila ya kuwa na uhakika wa bidhaa hiyo kupatika katika muda mfupi ujao.

Sababu za kubadilika badilika kwa bei kunaweza pia kuwa chanzo cha kupanda kwa bei kama hali hiyo haitadhibitiwa kwa wakati. Kwa ivo Mkoa mmoja kuwa na maharage kwa bei ya shilingi 3,800, na kwingine 3,000 haimaanishi hakuna mfumko wa bei. Swali la msingi kwa kawaida kwenye maeneo hayo bei ya Maharage huwa ni shilingi ngapi!!??
 
Kwanza fulctuation ni kubadilika badilika kwa bei na wala si kupanda kwa bei. watu wanazungumzia mfumko wa bei ambao kwa kiingereza ni "Inflation rate".

kubadilika badilika kwa bei ndiyo husababishwa na vitu kama kupungua kwa bidhaa na kuongezeka kwa bidhaa hizo hizo katika muda mfupi ama kuongezeka kwa mahitaji na kupungua kwa mahitaji katika muda mfupi. Lakini mfumko wa wa bei husababishwa zaidi na upungufu wa muda mrefu wa bidhaa bila ya kuwa na uhakika wa bidhaa hiyo kupatika katika muda mfupi ujao.

Sababu za kubadilika badilika kwa bei kunaweza pia kuwa chanzo cha kupanda kwa bei kama hali hiyo haitadhibitiwa kwa wakati. Kwa ivo Mkoa mmoja kuwa na maharage kwa bei ya shilingi 3,800, na kwingine 3,000 haimaanishi hakuna mfumko wa bei. Swali la msingi kwa kawaida kwenye maeneo hayo bei ya Maharage huwa ni shilingi ngapi!!??
Hakuna mfumuko wa bei na kama upo tueleze wewe ni Asilimia ngapi maana taarifa rasmi ni 4.8% ambayo ni ndogo kabisa na nzuri Kwa uchumi ndio maana hakuna bidhaa zinadoda huko masokoni..

Wakati unaimba kwamba Kuna mfumuko wa bei lakini hakuna sehemu bidhaa hazitoki kumaanisha kwamba ni moderate na unahimilka na ni mzuri Kwa Afya ya uchumi.
 
Endelea kukaa hapo hapo..
Price fluctuations ni functions ya production costs na transport costs na ni subject to changes mara Kwa mara kushuka na kupungua,na hii inaweza kuwa tofauti Kati ya eneo Moja na jingine kama ilivyo huko Mwanza wakati kitu hicho hicho ni bei ya chini sehemu kubwa ya Nchi.(local) na hapa ieleweke ni kwenye specif items tuu.

Inflation rate ni general price rate kwenye busket ambayo Iko computed Kwa kuchukua hizo average ya Kasi ya mabadiliko ya bei ya Bidhaa zilizochagukiwa na ambazo ni mainly consumed across the country ambazo hubeba weights tofauti..

So hata kama huko Mwanza kwenye specific items Zina bei kubwa ila ni local Wala hazina effects yeyote kwenye kubwa inflation rate.
sioni unachoking'ang'ania hapo! wakati mwingine ni busara kutojibu
 
sioni unachoking'ang'ania hapo! wakati mwingine ni busara kutojibu
Nasema hakuna mfumuko wa bei na bei zilizopo ni nzuri Kwa Afya ya uchumi yaani zinachagiza kukua Kwa uchumi Kwa kuwa wazalishaji wanaona wanapata faida..

Bei zikiganda umaskini unatopea
 
Back
Top Bottom